Hahahaaaaa!! Hakika, amfanyie wake atakacho, sie hatuna majibu ya nini anataka huyo wake.Mfanyie mkeo anachopenda, unauliza wanawake utufanyie nini kwani umetuoa sote?
Akirudi kachokaaa, na mipombe alokunywa ukianza kuongea nae utasikia "wanawake hawajui kuangalia nyakati za kuongea na za kupumzika". Shenzi kabisa.Kabisa mkuu,
Asidhalilike kivipi, kutwa nzima kaning'iniza miguu baa kama hana kwake, asidhalilike kivipi wakati kutwa anakunywa balimi wala si pombe ya maana, asidhalilike wakati akilewa anaanza kuropoka hovyo, kudhalilika kuna tafsiri pana mno.Ila ukikaa bar kama boya ndio haudhaliliki? Hivi tafsiri yetu ya kudhalilika inatokea sayari gani!!! Sasa huwa mnaoa ili iweje!! Si mkaage hivyo hivyo ili uwe huru zaidi, hata ukiamua kukesha bar haudhaliliki.
Anachagua ya kusikiliza ya kero atakwambia ngoja ni lale yale mazuri anatega sikio.Akirudi kachokaaa, na mipombe alokunywa ukianza kuongea nae utasikia "wanawake hawajui kuangalia nyakati za kuongea na za kupumzika". Shenzi kabisa.
Hakuna kitu kinaudhi kama umepika alafu mtu anakwambia ameshiba kumbe alishakula mguu wa mbuzi na supu baa.Asidhalilike kivipi, kutwa nzima kaning'iniza miguu baa kama hana kwake, asidhalilike kivipi wakati kutwa anakunywa balimi wala si pombe ya maana, asidhalilike wakati akilewa anaanza kuropoka hovyo, kudhalilika kuna tafsiri pana mno.
Ni kweli mke wangu lkn siwezi kulala saa 2 km kuku. Muda wa kulala ni saa 4:30 kuanzia saa 2 mpaka saa 4:30 tutakuwa tunaongea huku tunafanya mambo mengine km maakuli. Mm nipo tu babe halafu kipind hiki kuna mpira kwahiyo usishangae narudi saa 6 usikuUsiku ni muda wa kulala sio kuongea. Mwili unahitaji muda wa kutosha kupumzika kiafya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ga ga ga ga, wanawake wenzangu mmeiona hii?Hongera kwa kujitengenezea Tatizo mwenyewe kiumbe Mwanamke ni kazi sana kuishi nae Kama mungu kawapa kope na nyusi wao wanaona aziwatoshi wanaongeza nyingine na kucha wanaongeza wanakuwa Kama jini uwezi kumridhisha kwa chochote hapa duniani
Asidhalilike kivipi, kutwa nzima kaning'iniza miguu baa kama hana kwake, asidhalilike kivipi wakati kutwa anakunywa balimi wala si pombe ya maana, asidhalilike wakati akilewa anaanza kuropoka hovyo, kudhalilika kuna tafsiri pana mno.
Bar na kwenye mipira yenu hiyo mkiwahi sana ni saa5 usiku, sasa hiyo saa2 unayoongelea tunakuwa tunakula na kuongelea huko bar???Ni kweli mke wangu lkn siwezi kulala saa 2 km kuku. Muda wa kulala ni saa 4:30 kuanzia saa 2 mpaka saa 4:30 tutakuwa tunaongea huku tunafanya mambo mengine km maakuli. Mm nipo tu babe halafu kipind hiki kuna mpira kwahiyo usishangae narudi saa 6 usiku
Mama yangu siyo lazima ule nyumbani.Hakuna kitu kinaudhi kama umepika alafu mtu anakwambia ameshiba kumbe alishakula mguu wa mbuzi na supu baa.
Mimi kwangu nina msemo wangu mmoja tu, Utakula tu hata kikiwa kiporo! Ale hukoo abakishe nafasi ya kula cha nyumbani, kwasababu am sure siku nikiacha kumpikia hatoweza kula vya nje milele.Hakuna kitu kinaudhi kama umepika alafu mtu anakwambia ameshiba kumbe alishakula mguu wa mbuzi na supu baa.
Nimekupata!!!!dr huu ni ujumbe kwa makaka zangu wa JF
Kazi yangu ni kutafuta pesa. Na kuhakikisha chakula na mahitaji mengine hayakosekani. Mengine ataangalia mama yao.Bar na kwenye mipira yenu hiyo mkiwahi sana ni saa5 usiku, sasa hiyo saa2 unayoongelea tunakuwa tunakula na kuongelea huko bar???
Na muda na wanao unao saa ngapi? Hata home work huwa unawasaidia kweli? Vikao vya wazazi shuleni umewahi hudhuria hata kufuatilia maendeleo ya wanao? Outing wakafurahi na baba yao je? Umewahi kuingia kwenye maisha yao hata ujue nini kinaendelea?
Huo ujauzito uliubeba lini ukajua uchungu wake!!!Mama yangu siyo lazima ule nyumbani.
Ukishakuwa mkubwa popote unaweza kula. Ndiyo maana kuna migahawa.
Ngoja nijirekebishe maana nikakoelea nisije nikagongewa. Na ukigongewa kuna uuma sana zaidi ya uchungu wa mama mjamzito. Nitajirekebisha honey
We kacheze komborela.mabachelor tunaruhusiwa kuchangia hii mada.. nitiririke
Unaonaje mpira wa Mexico na New zealand. Una tabiri nani ataibuka kidedea?Mwishoni Mwanaume Utaishia Kuwekew Movie Za KiFilipino Na Za Kinaijeria Umaliziwe Na Bongo Movie. Juma3 Watu Wanadiscuss Aguerrrrrooooo Unabaki Kuuliza Tu??!