Mitha
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 706
- 1,023
Mbavu zangu mieNikisema nishinde nyumbani utakuja tena kutoa ujumbe jf ''eti mume wangu ananibana muda wote yupo nyumbani'' HVI NYINYI WANAWAKE TUWAFANYIE NINI HASA.??

Mbavu zangu mieNikisema nishinde nyumbani utakuja tena kutoa ujumbe jf ''eti mume wangu ananibana muda wote yupo nyumbani'' HVI NYINYI WANAWAKE TUWAFANYIE NINI HASA.??

Kwa hiyo we unitangaze kwa mashoga zako kama kwako si hemi halafu nikenue tu!Ila ukikaa bar kama boya ndio haudhaliliki? Hivi tafsiri yetu ya kudhalilika inatokea sayari gani!!! Sasa huwa mnaoa ili iweje!! Si mkaage hivyo hivyo ili uwe huru zaidi, hata ukiamua kukesha bar haudhaliliki.
Nilikuambia achana na mapenzi ya vumbi la huko Tandale, Njoo masaki uishi na mwanaume.Hivi nyinyi makaka ambao weekend mnafikiria kufanya shopping kujaza fridge na kuweka luku nyumbani baada ya hapo mnapotea kurudi saa nane usiku. Hivi unafikiri kwetu sikuwa ninakula au mzazi wangu wangu alishindwa kununua luku?
Weekend ndiyo muda wa kuongea na wewe. Monday to Friday unawahi kazini acha J'mosi nikupikie breakfast tuongee, ikiwezekana basi kufanya shopping wakati ninasafisha nyumba tule pamoja then unaweza kuwa na masaa mawili matatu na marafiki zako lakini unawahi kurudi nyumbani.
Kama unaenjoy sana company za marafiki mpaka saa nane usiku basi hukuwa tayari kuoa.
Kwani mlivyochumbiana hukumuona hivyo?Hivi nyinyi makaka ambao weekend mnafikiria kufanya shopping kujaza fridge na kuweka luku nyumbani baada ya hapo mnapotea kurudi saa nane usiku. Hivi unafikiri kwetu sikuwa ninakula au mzazi wangu wangu alishindwa kununua luku?
Weekend ndiyo muda wa kuongea na wewe. Monday to Friday unawahi kazini acha J'mosi nikupikie breakfast tuongee, ikiwezekana basi kufanya shopping wakati ninasafisha nyumba tule pamoja then unaweza kuwa na masaa mawili matatu na marafiki zako lakini unawahi kurudi nyumbani.
Kama unaenjoy sana company za marafiki mpaka saa nane usiku basi hukuwa tayari kuoa.
Hongera kwa kujitengenezea Tatizo mwenyewe kiumbe Mwanamke ni kazi sana kuishi nae Kama mungu kawapa kope na nyusi wao wanaona aziwatoshi wanaongeza nyingine na kucha wanaongeza wanakuwa Kama jini uwezi kumridhisha kwa chochote hapa dunianiMimi sihusiki tafadhali,saa 12 mi niho home naangalia TV
Sio kukutanaza anajisikia raha kusema shehas thebest huby, hayo ya kuhema ni hisia zako tu maana umeujaza nafsi negativity, ideas gani mnazoexchange mbona hatuoni mabadiliko ya maana zaidi ya kuvuruga tu!!!Kwa hiyo we unitangaze kwa mashoga zako kama kwako si hemi halafu nikenue tu!
Bar tunaexchange ideas na wwshikaji!
Kwahiyo furaha yako wikend wenzio waje mnasukana na umbea wa hapa na pale Mi nipo tu!
Bar lazima ihusike ebooooo!
Kwann?Ulishasema week end sasa ulitaka iwe week start acha,mumewe ale mboga mpya,Tatizo wake wengi huwezi toka nae kuna Mke wa ndani na mtoto wa kula nae bata
Sio kukutanaza anajisikia raha kusema shehas thebest huby, hayo ya kuhema ni hisia zako tu maana umeujaza nafsi negativity, ideas gani mnazoexchange mbona hatuoni mabadiliko ya maana zaidi ya kuvuruga tu!!!
Ukiona mashosti w.end wanakuja kupiga umbea home ujue hukufanya nafasi yako vizuri hivyo akaamua kutafuta mbadala wako, shukuru wamekuja mashosti.




Mna maneno mazuri ya kujitetea, sasa hao washikaji na wapambe mbona ukiishiwa na pesa hutaki kuwaona.Hata biblia imetamka TUISHI NAO KWA AKILI.
Kama Mungu mwenyewe aliwashindwa wanawake itakuwa sisi wanaume? Mliwekwa kwenye bustani ya edeni mkapewa kila kitu na bado mwanamke akadanganyika itakuwa kwa sisi wanaume kuwaridhisha kweli?
Mwanamke hata apewe dunia na vyote vilivyomo bado atalalamika tu.
...huko ku-balance kunanitaka Mimi Tu nifanye hivyo-wewe kama mwanamke hauwezi ku-balance tabia na mihemko yako ya control za wivu ili tuende sawa...Kuna kitu kinaitwa balance
Kuna washkaji then kuna marafiki infact true friends.Mna maneno mazuri ya kujitetea, sasa hao washikaji na wapambe mbona ukiishiwa na pesa hutaki kuwaona.