Umenioa nije kwako kula na kulala?

Umenioa nije kwako kula na kulala?

Mwenye masikio na asikie, ninyi wabishi shauri zenu, baadae mje mseme wake zenu hawatulii nyumbani
Malaya ni Malaya hata akipewa nini hataweza kutulia... Umemuona huyo amenunuliwa kila kitu home anakuja kulalamika huku lakini angekuwa ana mugeuza mume wake kama rafiki Huyo Mume asingekuwa anashinda huko njee.. Hii Kitu siyo Kama zile tamthilia
 
Tatizo ni kuongea tu Sky, au kuna mengine? Kama ni kuongea tu, naweza kuwa nilipo na bado tukaongea. It's a digital world, so watu wana-improvise na whatsApp, Facetime, DM/PM na kadhalika.
 
Haaaaaaaawe! Hamkawii kwenda kujitapa kwa mashoga zako kama " unaona nimeshika huyu na haondoki nyumbani bila ruhusa yangu"
Unashangaa unadhalilika hivi hivi
Ila ukikaa bar kama boya ndio haudhaliliki? Hivi tafsiri yenu ya kudhalilika inatokea sayari gani!!! Sasa huwa mnaoa ili iweje!! Si mkaage hivyo hivyo ili uwe huru zaidi, hata ukiamua kukesha bar haudhaliliki.
 
Ndiyo hapo sasa, kuwahi traffic unaondoka nyumbani saa 11:00 alfajiri, sasa mimi nikitaka kutengeneza chapatti na mbaazi inabidi nilalale jikoni ili view tayari saa kumi asubuhi,
Sa11 Hapana c kweli madam
 
Umeowa ila bado unaishi maisha ya u-bacholor,, kuna aina ya kazi ni full tym unakuwa busy bt smtyms jiibe hata 3hrs ukae na mkeo, apart from mahitaji mengne unayompa muda wako pia anauhitaji,, wanaume tubadilike tulioko kweny ndoa, na mji-tune mnaotarajia kuingia kweny ndoa. Unapotaka kuoa/kuolewa means umeamua kuuza sehemu ya uhuru wako.
 
Hivi nyinyi makaka ambao weekend mnafikiria kufanya shopping kujaza fridge na kuweka luku nyumbani baada ya hapo mnapotea kurudi saa nane usiku. Hivi unafikiri kwetu sikuwa ninakula au mzazi wangu wangu alishindwa kununua luku?

Weekend ndiyo muda wa kuongea na wewe. Monday to Friday unawahi kazini acha J'mosi nikupikie breakfast tuongee, ikiwezekana basi kufanya shopping wakati ninasafisha nyumba tule pamoja then unaweza kuwa na masaa mawili matatu na marafiki zako lakini unawahi kurudi nyumbani.

Kama unaenjoy sana company za marafiki mpaka saa nane usiku basi hukuwa tayari kuoa.
Tulia dawa ikuingieee
 
dr huu ni ujumbe kwa makaka zangu wa JF
Pole, lakini tuko tofauti ujue.... Wengine ndo tunaitwaga malofa... Labda una bahati mbaya.... Nitafute wkend mrembo kama ukiwa unajisikia mpweke.... Mwache tu hawez badilika, ila usijali, faraja yako ipo sio lazima uipate ndani mwako.... Kwani naye c anatoka kutafuta faraja! Nawe njoo mrembo....
 
Usinifanye tu kama mpangaji mwenzako wa kusalimiana na kushika hamsini zako
Huna lolote hizo ni genye tuu na wivu zinakusumbua...tafuta kauli nzuri za kusema na mwenzako na akutimizie haja zako kisha aende zake akatafute pesa na madili mengineyo.
 
Back
Top Bottom