Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,840
Reaction score
6,142
"If Obama wants me to allow gays marriage in Zimbabwe,I should marry him first to show the good example"-Robert Mugabe..

Ndio huyu huyu mzee,ambaye alipoulizwa na wanahabari wa Uingereza kuwa kwanini asiachie ngazi ilhali ameshazeeka, aliwauliza kama walishawahi kumuuliza swali kama hilo malkia wao..

Salute kwako uncle mugabe..
 
huyu ndio kidume,sio huyu wa tz(hivi hawez kujiuzulu akaenda zake msoga akatuachia nchi yetu)
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga

Waafrika wengi kuwapoteza lengo ni kazi rahisi sana.

Watajie habari za wakoloni, wazungu, utumwa, new world order, ushoga, maadui wa nje, maadui wa ndani, wasaliti, waliokosa uzalendo etc etc.

Utawaibia mabilioni kwa mabilioni huku wanakupigia makofi.

Wengi wanataka waigizaji na vitongozi.

Hawataki viongozi.

Sasa mtu kama Mugabe baada ya mauaji yote na economic mismnagement aliyoifanya Zimbabwe naye ni wa kusifiwa?

Kisa?

Kawatongoza waafrika masikini vizuri na kujipa image ya mpinga wazungu!

Wanaomsifia Mugabe wanajua jinsi gani alivyoua wa Ndebele?

Someni Gukurahundi

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Gukurahundi
 
Mugabe anasifiwa kwa kulinganishwa na viongozi wengine wa Afrika hasa katika suala la msimamo. He may be wrong in the right direction, lakini kwa msimamo he deserves an award. Hayo mengine kila mtu ana matatizo yake, hakuna msafi 100%. Mugabe pamoja na udhaifu wako lakini pia wewe ni guru wachache katika siasa za kupinga kuwanyenyekea wazungu.

Kutoka first world? Zimbabwe imeshawahi kuwa first world country ama unaongea tu? Mi nampongeza come come what may, anafanana kidogo na wahehe yani we njoo na manjonjo yako usitarajie akunyenyekee eti kwa sababu una pesa, aagh nde mgaya sida. Bora walivyokaa wenyewe kuliko kuwa chini ya hawa weupe, ukiangalia hata aboriginals ni vile hawana uwezo tu wa kuwaondoa wazungu lakini wangependa waishi maisha yao yaleee ya porini (3rd world life)ambayo wengi bado wanayapenda na ndio wanapractice.

viva Mugabe
Waafrika wengi kuwapoteza lengo ni kazi rahisi sana.

Watajie habari za wakoloni, wazungu, utumwa, new world order, ushoga, maadui wa nje, maadui wa ndani, wasaliti, waliokosa uzalendo etc etc.

Utawaibia mabilioni kwa mabilioni huku wanakupigia makofi.

Wengi wanataka waigizaji na vitongozi.

Hawataki viongozi.

Sasa mtu kama Mugabe baada ya mauaji yote na economic mismnagement aliyoifanya Zimbabwe naye ni wa kusifiwa?

Kisa?

Kawatongoza waafrika masikini vizuri na kujipa image ya mpinga wazungu!

Wanaomsifia Mugabe wanajua jinsi gani alivyoua wa Ndebele?

Someni Gukurahundi

Gukurahundi - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Mkuu mbona we umekimbia TZ na haiko chini ya Mugabe? acha kuongea hayo maneno, mbona Ireland, Estonia, Romania na hata NZ ni watu waliosambaa zaidi na karibu waishe katika nchi zao na ziko poa tu? Kukimbia nchi kuna factor nyingi (ambazo hata wewe mtz) umeathiriwa. Mugabe is a hero (it may be doing wrong in the right direction)
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga
 
Mugabe anasifiwa kwa kulinganishwa na viongozi wengine wa Afrika hasa katika suala la msimamo. He may be wrong in the right direction, lakini kwa msimamo he deserves an award. Hayo mengine kila mtu ana matatizo yake, hakuna msafi 100%. Mugabe pamoja na udhaifu wako lakini pia wewe ni guru wachache katika siasa za kupinga kuwanyenyekea wazungu.

Kutoka first world? Zimbabwe imeshawahi kuwa first world country ama unaongea tu? Mi nampongeza come come what may, anafanana kidogo na wahehe yani we njoo na manjonjo yako usitarajie akunyenyekee eti kwa sababu una pesa, aagh nde mgaya sida. Bora walivyokaa wenyewe kuliko kuwa chini ya hawa weupe, ukiangalia hata aboriginals ni vile hawana uwezo tu wa kuwaondoa wazungu lakini wangependa waishi maisha yao yaleee ya porini (3rd world life)ambayo wengi bado wanayapenda na ndio wanapractice.

viva Mugabe

Nafikiri umeni quote mimi wakati unamjibu mtu mwingine.

Sijawahi kusema Zimbabwe imewahi kuwa first world.

Enlightened people stopped saying things like "first world" a long time ago.
 
Waafrika wengi kuwapoteza lengo ni kazi rahisi sana.

Watajie habari za wakoloni, wazungu, utumwa, new world order, ushoga, maadui wa nje, maadui wa ndani, wasaliti, waliokosa uzalendo etc etc.

Utawaibia mabilioni kwa mabilioni huku wanakupigia makofi.

Ditto!

Kwa siku mbili tatu hizi Museveni kapewa plaudits na watu humu kwa kinachodaiwa kutia saini muswada wa sheria inayokataza wanawake nchini Uganda kuvaa nguo fupi.

Kaitwa mfano wa kuigwa, kiongozi imara, na sifa nyinginezo kama hizo.

Watu hawaoni ubaya wowote wa hiyo sheria na ghafla bin vuu ni kama wamesahau kama lijamaa ni lidikteta na just like that, with the stroke of a pen, limegeuka kuwa shujaa!!

Viwango vya Waafrika ni vya chini sana aisee.
 
Nafikiri umeni quote mimi wakati unamjibu mtu mwingine.

Sijawahi kusema Zimbabwe imewahi kuwa first world.

Enlightened people stopped saying things like "first world" a long time ago.

Sawa sorry mkuu, ni huyo bwana mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom