Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Mkali wangu wakati watanzania tuna lala masaa nane eti tumepumzika wenzetu wana kesha lab wakiumiza vichwa kufanya ufumbuzi. Umeme wa wireless upo na upo very safe ila mbinu walizo tumia ni sawa tu naza lumia wireless charging. Ila mfumo wake upo tofauti taa zake ni LED na zina ambatana ni vifaa vyake. Ila mfumo mzma wa wireless umeme ni mambo ya electromagnetism. Ingia mtandaoni chc documentaries bro. Kwasababu m mwenyewe sija pigiwa stry ila nilichc kweny kipindi channel Discovery tena mwaka jana. So jaribu kupita net kwa maelezo zaidi


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
practically impossible,,, acha kugoogle na kupaste mambo ya "yahoo answers" bichwa lako.
 
haya maisha nowdays kila kitu wireless.. nasubiri mtu atayegundua jinsi ya KUDOWNLOAD chakula
 
haya maisha nowdays kila kitu wireless.. nasubiri mtu atayegundua jinsi ya KUDOWNLOAD chakula
Siku hizi kuna printer za ku-print chakula (usibishe), sasa kwanini ushindwe kuki-download?!
 
ndani ya miaka 5 mpaka 10 tutakuwa na umeme wa wireless, kuna vifaa tayari vitaingia sokoni mwaka huu na mwaka kesho ambavyo vinatumia umeme wa wireless ndani ya nyumba. Mfano kama charger ya simu hautahitaji cable bali unachomeka charger yako kwenye umeme then ndani ya nyumba yako unaweza kucharge simu regardless upo wapi kwani haiitaji wire.

Kwa large scale hasa umeme wa msongo mkubwa tayari wameshaproove inawezekana wanachofanyia kazi sasa ni safety kwa watu. Hatuna muda mrefu hatutakuwa na high tension cables allover our heads maana transmission itakuwa wireless.
Hapo kwenye suala la usalama wa viumbe hai na mazingira ndo kwenye changamoto. Lakini haya mambo yanachanganya sana, kwenye telecommunications napo baada ya kuona micro wave transmission zina mapungufu yake ikabidi walete fibre cable sasa kwenye power transmission ndo ije kuwa wireless tena au na yenyewe wataconvert kwanza kwenye radio waves na kuongeza frequency zake toka 50Hz hadi juu ya 15GHz, maana umeme wa 50Hz na 60Hz kupita kwenye hewa na majumba sio kazi rahisi.

Kuhusu hizo charger sijawahi kuziona, ningekuwa nimeziona pengine ningejifunza kitu.
 
Itakuja siku moja kwani wireless electricity ipo kwenye medical implants, toothbrush, magari na hata zipo train zinafanya kwa wireless, inawezekana na mimi naamini
 
Hapo kwenye suala la usalama wa viumbe hai na mazingira ndo kwenye changamoto. Lakini haya mambo yanachanganya sana, kwenye telecommunications napo baada ya kuona micro wave transmission zina mapungufu yake ikabidi walete fibre cable sasa kwenye power transmission ndo ije kuwa wireless tena au na yenyewe wataconvert kwanza kwenye radio waves na kuongeza frequency zake toka 50Hz hadi juu ya 15GHz, maana umeme wa 50Hz na 60Hz kupita kwenye hewa na majumba sio kazi rahisi.

Kuhusu hizo charger sijawahi kuziona, ningekuwa nimeziona pengine ningejifunza kitu.
wireless charger zipo(usibishe)
 
Hapo kwenye suala la usalama wa viumbe hai na mazingira ndo kwenye changamoto. Lakini haya mambo yanachanganya sana, kwenye telecommunications napo baada ya kuona micro wave transmission zina mapungufu yake ikabidi walete fibre cable sasa kwenye power transmission ndo ije kuwa wireless tena au na yenyewe wataconvert kwanza kwenye radio waves na kuongeza frequency zake toka 50Hz hadi juu ya 15GHz, maana umeme wa 50Hz na 60Hz kupita kwenye hewa na majumba sio kazi rahisi.

Kuhusu hizo charger sijawahi kuziona, ningekuwa nimeziona pengine ningejifunza kitu.

Wanatumia magnetic iliyopo hewani! Kwanza umeme unakuwa transformed kuwa magnet the magnet inasafirishwa hewani na kuwa converted kwenda electricity baada ya kupokewa na receiver
 
The LINPOW Wireless Charging system which is designed to bring the convenience the time you have to Rock, Talk, Text, and Socialize with your devices.No more need to plug and unplug your phones' charging cable. imply lay your baby devices with the LINPOW case on the charging base and charging begins. Built-in magnetic position system of the base will guide the device into perfect position for optimal charging.

1.jpg
2.jpg
3.jpg



***Kwenye simu walishaanza kidogo kidogo, tusubirie na majumbani sasa ule umeme mkubwa..:tea:

 
Wanatumia magnetic iliyopo hewani! Kwanza umeme unakuwa transformed kuwa magnet the magnet inasafirishwa hewani na kuwa converted kwenda electricity baada ya kupokewa na receiver

Upo ryt mkuuu, wanasema energ can neither be destroyed nor created bt can be transformed from one form into another
 
Google ipo lakin wabongo wanabishana kwa nguvu badala ya kutafuta ukwel kupitia vidole vyao. Just search "wireless electricity transfer".
 
fikiria kupitisha watt 300 kwa air hao wa2 wanakuwa kwanye hal gan
 
Nothing is impossible, I repeat nothing at all. The only impossible thing at this point is NOT to die basi.
 
Back
Top Bottom