sio sisi tunatumia vichwa kufuga nywele!
Mkuu hata kwa sayansi ya darasa la saba tu unaweza kugundua kuwa haiwezekani umeme kuwa wireless.
Khaa!! Simu za wireless ndiyo zilianza kugunduliwa kabla ya simu za wire :glasses-nerdy:Kabla ya simu za wireless ungemwambia mtu kitu ka hicho angekwambia haiwezekani
Duh......kweli midomo imeumbiwa maneno. Dah!
Khaa!! Laiti angalau kiasi ambacho Nicola Tesla alivyohangaika na kiasi cha energy alichopata basi nadhani mgeelewa mnajadili nini hapaInawezekana umeme Wa wireless ukatengenezwa . hapa tutaangalia technolojia mbili. Magnetic field to signal/electromagnet waves converter. Na tuwe na Kifaa ichi mfano Wa transformer ambacho kinaweza kurise frequency za signal to high . this field is impossible may at the future. Ila hatuwezi kusafirisha masafa marefu ni Kama mita 2 tu. Sababu ya madhara ya magnetism
Hahahahaha daaah aisee hata mi sina mbavu midomo inaongea jamani!!!!
Wewe mutoa post Usiwadanganye watanzania. Kuna watu wamesoma na wanaelimu ya umeme humu kwenye JF. Hiyo kitu haipo popote pale dunuani hata first world countries. Mawasiliano ya simu yanawezekana wireless kwa kuwa kinachopita mle ni data au information. Kwenye umeme lazima kuwe na flow of electrons. Na Kiutaalam lazima kuwe na kitu kinaitwa Potential difference. Umeme si sawa kabisa na simu. Na kama teknolojia hiyo ikiingia ni nini kitakacho mshinda Tanesco kuwekeza kwenye teknolojia hiyo. Inawezakana mtoa mada hajui kilichopita TTCL aulize historia ndo ataelewa
V=IR: V ni Voltage I ni Current na R ni Resistance. Electrons haziwezi ku flow kwenye hewa lazima kuwe na wire wa kuzisafirisha na kwa kuwa ni umeme lazima zifunikwe zisije zikawadhuru watu. Kama zikiachiwa wireless ziruke hovyo hewani mtaua watu kila siku. Imagine 220kV au 400kV zipite mtaani.
fikiria kupitisha watt 300 kwa air hao wa2 wanakuwa kwanye hal gan
Khaa!! Laiti angalau kiasi ambacho Nicola Tesla alivyohangaika na kiasi cha energy alichopata basi nadhani mgeelewa mnajadili nini hapa
Energy can never created or destroyed but we can transform it from one form to another kama una watt 100 usitegemee kuziongeza hata chembe sana sana zitakuwa converted ktk form ingine na kupunguaUnaweza kusafirishwa hata umeme mdogo nyumbani kukawa na kifaa cha kuzalisha umeme.
Mbona solar panel inaweza charge battery ya volt 12 lkn invertor ikazalisha volt 240?
Siku hizi vifaa vingi vinatengenezwa kutumia umeme mdogo tofauti na awali.
Tesla alikwamishwa na j.p morgan ambae alikuwa akimfadhili ktk project yake ya kutransmiit power wirelessly Hii inshu ni ngumu kwa kweli italeta madhara na kuonize hewa umewah kuwa karibu na Extra voltage line wakati wa ucku umeme unapita kwenye waya ila bando una ionize hewa na kulifanya conduct sasa imagine uko wireless kama data na information tutakufa
Ana remind ndege zinazo rushwa angani bila rubaniWewe mutoa post Usiwadanganye watanzania. Kuna watu wamesoma na wanaelimu ya umeme humu kwenye JF. Hiyo kitu haipo popote pale dunuani hata first world countries. Mawasiliano ya simu yanawezekana wireless kwa kuwa kinachopita mle ni data au information. Kwenye umeme lazima kuwe na flow of electrons. Na Kiutaalam lazima kuwe na kitu kinaitwa Potential difference. Umeme si sawa kabisa na simu. Na kama teknolojia hiyo ikiingia ni nini kitakacho mshinda Tanesco kuwekeza kwenye teknolojia hiyo. Inawezakana mtoa mada hajui kilichopita TTCL aulize historia ndo ataelewa
V=IR: V ni Voltage I ni Current na R ni Resistance. Electrons haziwezi ku flow kwenye hewa lazima kuwe na wire wa kuzisafirisha na kwa kuwa ni umeme lazima zifunikwe zisije zikawadhuru watu. Kama zikiachiwa wireless ziruke hovyo hewani mtaua watu kila siku. Imagine 220kV au 400kV zipite mtaani.
Basi kwa maoni take hata dawasco wataleta maji bombalessInawezekana umeme Wa wireless ukatengenezwa . hapa tutaangalia technolojia mbili. Magnetic field to signal/electromagnet waves converter. Na tuwe na Kifaa ichi mfano Wa transformer ambacho kinaweza kurise frequency za signal to high . this field is impossible may at the future. Ila hatuwezi kusafirisha masafa marefu ni Kama mita 2 tu. Sababu ya madhara ya magnetism
Ana remind ndege zinazo rushwa angani bila rubani
Ndugu.., maji ya mvua yanatumia bomba gani?Basi kwa maoni take hata dawasco wataleta maji bombaless
Ndugu.., maji ya mvua yanatumia bomba gani?