Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Yaani pamoja na charger za wireless zilizopo mjini bado mnabisha mpaka leo, niliandika kwenye post moja hapa hautapita mwaka hizi charger zitakuwa madukani watu wakabisha, sasa hivi ziko tere mjini. Unaiweka charge kwenye umeme then simu yako inacharge popote ilipo provided iko kwenye range ya charger. Hata umeme mkubwa tayari tafiti zinafanyika kuhakikisha unakuwa salama hautaleta mdhara kwa watu na litafanikiwa.

Hizi elimu tulizonazo ndio kikwazo kikubwa maana mkiambiwa kitu mnakuja na equations kibao kuonyesha kuwa hiwezekni later mnagundua kuwa inawezekana mnabaki mnashangaa, with time umeme utakuwa wireliess

Electromagnetic ina capacity kubwa sana kufanya miujiza ambayo watoto wetu watajiuliza kwanini sisi hatukuweza kufanya, mfano ni teleport inawezekana ila kuna issue za ethics kabla haijaruhuiwa lazima ziwe solved, tumieni akili zenu kwa kujiambia hakuna kisichowekana na kila kitu mtakiona kiko wazi
 
Energy can never created or destroyed but we can transform it from one form to another kama una watt 100 usitegemee kuziongeza hata chembe sana sana zitakuwa converted ktk form ingine na kupungua
Ila voltage zake zinaweza kupunguzwa ua kuwa amplified kwa kutumia transformer
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

Wengine sijui huwa wanatumia kiungo gani ktk kufikiri !!!!!!!!!!!!
 
Tafuteni historia ya aliyegundua umeme na kabla hajafa project ya mwisho muda wakewote aliishi hoteli amefari akiwa na miaka 80 na nd alikuwa aaaizaproject ya kuufanya umee uwe wirelss
 
Hizo Ni habari za kufikirika kwa sasa hata transmiter ya kusafirisha 100w haijagunduliwa ndo uje useme mega watts.
 
Back
Top Bottom