rea

Baron Rea, of Eskdale in the County of Cumberland, is a title in the Peerage of the United Kingdom. It was created in 1937 for the businessman and Liberal politician Sir Walter Rea, 1st Baronet, who had earlier represented Scarborough, Bradford North and Dewsbury in the House of Commons. He had already been created a Baronet, of Eskdale in the County of Cumberland, in 1935. He was succeeded by his eldest son, the second Baron. During the Second World War he served as personal staff officer to Brigadier Colin Gubbins, the Head of SOE, a key British intelligence and guerrilla operations agency. Lord Rea served as Leader of the Liberal Party in the House of Lords from 1955 to 1967. His daughter, the Right Hon. Ann Felicity Rea, married SOE veteran Malcolm Munthe in 1945. His nephew, the third Baron, who succeeded in 1981, was a physician. He was one of the ninety elected hereditary peers elected to remain in the House of Lords after the passing of the House of Lords Act 1999, and sat on the Labour benches. As of 2020 the titles are held by his son, the fourth Baron, who succeeded his father in that year.
Russell Rea, father of the first Baron, was also a Member of Parliament and had been admitted to the Privy Council in 1909. The sculptor Betty Rea was the wife of the Hon. James Rea, younger son of the first Baron. They were the parents of the third Baron.
The family surname and the title of the barony, Rea, is pronounced "Ree".

View More On Wikipedia.org
  1. A

    KERO Changamoto ya umeme wa REA Kata ya Ipande, Chalinze

    Kwa heshima na tadhima naomba JF ujumbe huu uwafie wahusika. Kipindi umeme wa REA unasambazwa, mwaka 2017 aliyekuwa Waziri wa Nishati Menad Kalema alituahidi wana Ipande kwamba umeme utaenda nyumba hadi nyumba mpaka nyumba ya udongo ili mradi tu amelipia. Baada ya hapo umeme mpaka leo hii mkoa...
  2. S

    DOKEZO Mradi wa REA uliopo Tanga, Lushoto Bumbuli, Kata ya Funta kijiji cha Manga ni mwaka wa 3 haujakamilika

    Mradi wa REA uliopo TANGA, LUSHOTO BUMBULI, kata ya FUNTA kijiji cha MANGA. Ni mwaka wa 3 mradi haujakamilika. Tulifika mpaka TANESCO wilaya kuwaeleza hawajafanya chochote (kama pesa za mradi zimeliwa basi) kama kitongoji kimoja hakimalizi nguzo 10 mwaka wa 3 mradi haukamiliki, basi tunaiomba...
  3. Roving Journalist

    Rais Samia apokea taarifa ya Mradi wa REA awamu ya 3 na kuzungumza na wananchi wa Iramba, leo Oktoba 17, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa Umeme Vijijini REA awamu ya tatu mzunguko wa pili kuungumza na wananchi wa Wilaya ya Iramba, Eneo la Shule ya Msingi Shelui leo tarehe 17 Oktoba, 2023...
  4. A

    DOKEZO Umeme wa REA vijiji vya kata za Kagoma wilayani Muleba usitolewe kwa ubaguzi

    Ni miaka takribani sita tangu mradi wa umeme kwenye baadhi ya vijiji vya kata za Kagoma wilayani Muleba upite lakini wananchi walio wengi mpaka sasa hawajaunganishiwa umeme. Vijiji vilivyoathirika zaidi ni kijiji cha Manyora, Katwelelo na Muyenje. Kijiji cha muyenje kiliathirika zaidi kwa...
  5. U

    Rais Samia Kagusa TANESCO, TTCL, REA, POSTA. Mbona EWURA hajagusa?

    Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili. Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza...
  6. Stephano Mgendanyi

    REA yaagizwa kufikisha umeme kijiji cha Ngahokora kufikia Desemba 2023

    MH. JENISTA ATOA MAAGIZO KWA REA KUFIKISHA UMEME KIJIJI CHA NGAHOKORA KUFIKIA DESEMBA Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha linafikisha huduma ya umeme...
  7. Suley2019

    Waziri Mkuu Majaliwa akerwa na kasi ndogo ya Mkandarasi mradi wa REA Newala

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amehoji kwanini mkandarasi wa Rea, Newala hachukuliwi hatua ikiwemo kusimamishwa licha ya kuwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa mradi wa kuunganisha umeme katika baadhi ya vijiji wilayani humo. Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara yake Wilayani Newala ambapo amesema...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Juliana Masaburi Ahoji Utekelezaji wa Mradi wa REA III Mkoa wa Mara

    Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Juliana Didas Masaburi katika kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni Jijini Dodoma amehoji Wizara ya Nishati kuhusu utekelezaji wa Miradi ya REA III awamu ya Pili Katika Mkoa wa Mara Maswali yote yalijibiwa na Naibu Waziri Wizara ya Nishati Mhe. Wakili...
  9. Stephano Mgendanyi

    Mradi wa REA Umekiheshimisha Chama Tawala

    MHE. TIMOTHEO MNZAVA - MRADI WA REA UMEKIHESHIMISHA CHAMA TAWALA "Manufaa ya gesi asilia ni makubwa, sekta ya gesi inakuwa kwa kasi kubwa na ni rahisi kusafirisha na watu wana matumaini makubwa ya kunufaika na gesi asilia." - Mhe. Timotheo Mnzava, Mbunge Jimbo la Korogwe "Mkandarasi...
  10. wanzagitalewa

    Madudu ukaguzi maalum wa CAG upande wa REA 2015-2020

    UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa maombi ya wafadhili; Shirika la Kimataifa la Maendeleo Sweden (Sida). Kwamba Machi 2016, Tanzania na Sida waliingia mkataba wa ufadhili wa...
  11. Stephano Mgendanyi

    Mbunge, Judith Kapinga: Wizara ya Nishati Iwajengee Uwezo Wakandarasi REA

    MHE. JUDITH KAPINGA - "WIZARA YA NISHATI IWAJENGEE UWEZO WAKANDARASI REA" Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Judith Salvio Kapinga aliongoza mafunzo ya Kamati ya Uongozi ya Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge katika...
  12. A

    Mradi wa REA umekuwa ukitukosha, Lakini iweje TANESCO wanatuuzia nguzo Tzs 500,000 Arusha Vijijini?

    Rais wetu, unastahiki kila aina ya pongezi kwa maono yako ya kuondoa giza kwenye kila kona ya nchi kwa miradi ya umeme vijijini. Lakini kwa sasa TANESCO Arusha wanatoza zaidi ya sh. 500.000 iwapo utahitaji nguzo moja, na hadi 600,000 kwa umbali wa nguzo mbili. Sasa huyu maskini anayeishi...
  13. peno hasegawa

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini REA, Hassan Said Njoo Mkoa wa Geita

    Nenda Mkoa wa Geita ukajionee Utekelezaji wa mradi wa REA awamu ya tatu mzunguko wa pili mkoani Geita umesitishwa bila sababu za msibgi na bila wakandarasi kujulishwa na mikataba tukiwa tumesainishwa. Wananchi na wakandarasi huko wako wanakusubiri ukawape majibu na uelekeo wa mikataba na...
  14. BARD AI

    Makamba aipiga chini ETDCCo kusaini mkataba mpya wa Usambazaji Umeme Vijini (REA)

    Waziri wa Nishati Januari Makamba amezuia Kampuni ya Usambazaji umeme ya ETDCCo kusaini mkabata wa usambazaji umeme akitoa madai ya kuwepo kwa uzembe. Makamba amezui mkataba huo leo Desemba 19, 2022 jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini mikataba ya utekelezaji wa mradi wa...
  15. gimmy's

    DOKEZO Waziri Makamba fuatilia kwa makini miradi mingi ya REA wakandarasi wanatumia waya za 25mm badala ya 50mm kwenye service line

    Mh Makamba sijawahi kuona wafanyakazi wako wazembe mkiwawajibisha kwenye ziara zako zakusikiliza kero za wananchi nafikiri ndio sababu wakandarasi wakishirikiana na wakaguzi Kabla ya miradi ya REA kukabidhiwa kwa TANESCO wanaendelea kupiga pesa. Mh makamba huwa nafuatilia sana makala zenu za...
  16. YEHODAYA

    Pesa za REA zianze kupelekwa kwenye gesi ya kupikia ili vijijini nao waanze kutumia gesi badala ya kuni na mkaa

    Pesa za REA zianze kupelekwa kwenye gesi ya kupikia ili vijijini nao waanze kutumia gesi badala ya kuni na mkaa. Inawezekanaje? PESA za REA zielekezwe kwenye ruzuku ya gesi. Takwimu zinasema umeme umeenda nchi nzima vijiji kibao vijiji vichache tu vimesalia kupata umeme Pesa za REA sasa...
  17. luangalila

    Umeme wa REA kiukweli umeleta changamoto sana kwa baadhi ya waombaji wapya wa Umeme

    Pamoja na serikal ilifanya vizuri kuja na mradi wa kuleta umeme katika maeneo ya mbali na mijin Kwa maoni yangu naona bado katika baadhi ya utekelezaj wa mradi hii watekelezaji walivurunda sanaa hasa katika swala la kuzingatia uwekaji nguzo katika mipaka baina ya kiwanja kimoja na kingine...
  18. RWANDES

    Kamati ya PAC yaibua madudu mradi wa REA, bilioni 7 zaongezwa kwenye mradi kinyume na utaratibu

    Katikakati ya umeme inayoendelea nchini baadhi ya wabunge bungeni wamekuja juu baada ya kuona nchi inakuwa gizani mara kwa mara huku wenye viwanda wakifunga viwanda vyao kwa kukosa umeme wa uhakika katika uzalishaji. Aidha kamati ya PAC imebaini kuwa baadhi ya mikataba ilyosaniwa na Tannesco...
  19. Rumi96

    Msaada kujua tender ya kusambaza umeme wa REA Mtera Dodoma alipewa client gani.

    Wakuu habarini, naomba kujuzwa tender ya kusambaza umeme wa REA Mtera Dodoma alipewa contractor gani. Supply and Installation of 220/33 kV, 2 x 10 MVA substation Extension in Mtera. Tender hii ilitangazwa mwaka 2013 kama sijakosea. Natangauliza shukrani.
  20. K

    REA imetelekeza Mradi wa Kilosa Vijijini, Mfuruni na Idete

    Tangu mwaka 2016 Rea ili Saini mkataba no:AE/008/2016-17/HQ/G/11 -Lot 6 na Mkandarasi State Grid ya DSM. Mshangao Mkandarasi huyo alileta nguzo mwaka 2016 ambazo mpaka leo haziko sehemu ya Mradi na masalia zimeteketezwa na moto. Hii imekaaje May 2021 imekuja SUMA JKT tunaona wanaanza na...
Back
Top Bottom