saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,173
- 6,157
Watanzania wenzangu sijaona hali mbaya ya umeme km wakati huu. Tuliambiwa ilikuwa tatizo la upungufu wa maji kutokana na ukame.
Mvua imenyesha tangia mwezi wa 11 na mpaka sahivi inanyesha mpaka imekuwa kero. Lakini hakuna umeme na hali ndiyo imekuwa mbaya sana, hata km watanzania mmezoea ni wavumilivu hii hali haivumiliki.
Umeme unakatwa tangia asubuhi unaweza kurudi usiku mmeshalala, mnaamka mara ghafla kabla ya saa 2 umekatwa tena. Rais km mkuu wa nchi tuambie tatizo ni nini, tumechoka na ngonjera za wasaidizi wako.
Kama wanakuhujumu chukua hatua. Huku nilipo hali ni mbaya sijawahi ona ktk awamu yoyote ile iliyopita ya uongozi. Inakera, inaudhi tuko gizani. Maisha gani haya tunaishi dunia ya leo wakati karibu kila shughuli inahitaji umeme?
Mvua imenyesha tangia mwezi wa 11 na mpaka sahivi inanyesha mpaka imekuwa kero. Lakini hakuna umeme na hali ndiyo imekuwa mbaya sana, hata km watanzania mmezoea ni wavumilivu hii hali haivumiliki.
Umeme unakatwa tangia asubuhi unaweza kurudi usiku mmeshalala, mnaamka mara ghafla kabla ya saa 2 umekatwa tena. Rais km mkuu wa nchi tuambie tatizo ni nini, tumechoka na ngonjera za wasaidizi wako.
Kama wanakuhujumu chukua hatua. Huku nilipo hali ni mbaya sijawahi ona ktk awamu yoyote ile iliyopita ya uongozi. Inakera, inaudhi tuko gizani. Maisha gani haya tunaishi dunia ya leo wakati karibu kila shughuli inahitaji umeme?