Huyo Kilema mwenye wheel chair tayari ana siti yake, huyo sitahangaika naye.
Anayefuata ni mama kabeba mtoto, ntamchukua huyo mtoto nimpakate mimi huku mama mtoto akiendelea kushikilia bomba.
Huyo mwenye magongo nitamuacha asimame kama sehemu ya zoezi ili kujiimarisha vizuri misuli ya miguu.
Huyo Mzee nitamruka kwasababu uzee sio ugonjwa.
Huyo mjamzito sio ishu yangu, nitawaachia mitihani wanawake wenzake nione kiwango chao cha huruma maana wao ndio wanajua wakiwa kwenye situation hiyo nini wanakutana nacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.