Wa pili kulia...Kwako mdau, vuta picha upo kwenye usafiri wa umma na hali ndiyo hiyo.
Je, utampisha nani?
Naam.Nakomaa tu. Usikute uyo mzee zamani alikua mwanasiasa. Alievunjwa mguu alikua mwizi. Mwenye mtoto nitamsaidia kubeba mtoto. Mjamzito apige mazoezi aache uzembe.
Fanya wepesi kwenye hizo sendo dpNilivyosipendi usumbufu nadhani wangeniona shetani, thanks lord sijawahi kukutana na hiyo hali
MjamzitoKwako mdau, vuta picha upo kwenye usafiri wa umma na hali ndiyo hiyo.
Je, utampisha nani?
Nimecheka Mimi mwenyewe Nina hogo hapa kumbe ningepata siti japo na muda mrefu sijafanya unnecessary movementsWote watashikilia bomba tu.
Ila jamaa mwenye hogo itabidi nimuhurumie
Pole sana mkuuNimecheka Mimi mwenyewe Nina hogo hapa kumbe ningepata siti japo na muda mrefu sijafanya unnecessary movements
Nikiona watu wanatembea with their legs nawatamania hope with time ntakaa sawaa
All in all,
Tumshukuru maulana
ASANTE SANA mwenyezi Mungu kwa kila Jambo
Asante Sana mkuuPole sana mkuu
Uje uchague zimebaki chache.. Ila nyeusi ndo zimeishaFanya wepesi kwenye hizo sendo dp
Sawa mkuuUje uchague zimebaki chache.. Ila nyeusi ndo zimeisha