EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
gem mbili stimu zinawaisha mnabaki kuangalia moviemkuuu , unafel hapa...kama unadem mnywa pombe za baani????? Piga chini.
Hamnaga demu mnywa pombe za baani alafu asigongwe ovyo hahahaha ..unafel
Ndio maana sijawah kaa kufikiria niwe kimahusiano na mwanamke mnywa pombe...NEVER EVER !!!
Alafu demu asokua mlevi, yee zake nikupenda umkaze tuuu, nyumban anakushawish uwahi rudi
kipande hii si mchezo jaribu hutajuta aisee
