Umejipangaje mtoko wa kesho

Umejipangaje mtoko wa kesho

Umejipangaje mtoko wa kesho ? Utatoka na nani ? Umejiandalia pocket money ya shilingi ngapi?


Binafsi kesho niko tu gheto na mtoto mkali atapika tukimaliza kula tu ndio muda wa kumla mpishi mpaka Morning siku ile ya boxing day,

Itakuwa ni mwendo wa kuamka kunywa maji na kuendelea na game



Cc Zero IQ.


Wewe si ni mwanamme wa Dar, sasa utashikishwa ukuta saa ngapi na wenzio wa kitaa? Mwache kumchezea huyo mtoto wa watu unampotezea muda bure tu.
 
Back
Top Bottom