Umejipangaje mtoko wa kesho

Umejipangaje mtoko wa kesho

Nasubiri mualiko rafiki mpenda nanihiii
Rafiki mimi nimeshaianza xmas yangu,karibu sana!
114941.jpeg
 
Kweli rtena mkuu..walevi mnajua mahesabu sana, mabadiliko ya bei lazma myajue , Unajua hata buku 10 unapata bia ya aina gan??? Na kitimoto



Mkuuu mimi sinywi pombe + sivuti sigara... Ulevi wangu ni Kunywa maji mengi kila siku !!!

Alafu Kunywen kiafya, Mnaishia kugongewa wake zenu, mnatafuta wachawi?????
 
Kweli rtena mkuu..walevi mnajua mahesabu sana, mabadiliko ya bei lazma myajue , Unajua hata buku 10 unapata bia ya aina gan??? Na kitimoto



Mkuuu mimi sinywi pombe + sivuti sigara... Ulevi wangu ni Kunywa maji mengi kila siku !!!

Alafu Kunywen kiafya, Mnaishia kugongewa wake zenu, mnatafuta wachawi?????
unafeli sana mkuu nyie mnaukunywa maji ndo mnagongewa kinoma coz dem wako atapenda kwenda viwanja najua ili kumfurahisha utampeleka ila nexttime ukiwa haupo atatukuta sisi.
 
unafeli sana mkuu nyie mnaukunywa maji ndo mnagongewa kinoma coz dem wako atapenda kwenda viwanja najua ili kumfurahisha utampeleka ila nexttime ukiwa haupo atatukuta sisi.
mkuuu , unafel hapa...kama unadem mnywa pombe za baani????? Piga chini.
Hamnaga demu mnywa pombe za baani alafu asigongwe ovyo hahahaha ..unafel


Ndio maana sijawah kaa kufikiria niwe kimahusiano na mwanamke mnywa pombe...NEVER EVER !!!

Alafu demu asokua mlevi, yee zake nikupenda umkaze tuuu, nyumban anakushawish uwahi rudi
 
Back
Top Bottom