Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Hahahahha ila ujue unazinguaga sanaNazinguaje sasa mdoli wangu
Hahahahha ila ujue unazinguaga sanaNazinguaje sasa mdoli wangu
HAITOSHI AISEE ACHA UONGO
BIA 4 (1500*4=6000)
NUSU KMOTO 5000-5500-6000
HAPO MZEE BABA NI
BALIMI 3 NA KITIMOTO YA 5500
Tusikitike kidogoile ina radha ya changaaa mkuu made from Rombo
Bora nyie ndugu,mi nitakuwa kazini kama kawaida,sisi hatuna likizoUmejipangaje mtoko wa kesho ? Utatoka na nani ? Umejiandalia pocket money ya shilingi ngapi?
Binafsi kesho niko tu gheto na mtoto mkali atapika tukimaliza kula tu ndio muda wa kumla mpishi mpaka Morning siku ile ya boxing day,
Itakuwa ni mwendo wa kuamka kunywa maji na kuendelea na game
Cc Zero IQ.
HUKO KWENU SIE TUPO DAR ES SALAAMHuku kitimoto nusu 4000
HUKO KWENU SIE TUPO DAR ES SALAAM
Hawaendi mbinguni hahahahahahahahahahJmn watoto hawa kwnn mnawaonea sana ule nae halaf umle jmn
Kazi gani mkuu ujeda,dr au mlinzi
KWANI NIMEKUBISHIA???Sasa mkuu unahisi kila mtu humu jf yupo dar.
Godoro mkuuUtalalia nini mkuu?
Rombo ina viwanda vya pombe tu hahahahahahahahahahile ina radha ya changaaa mkuu made from Rombo
Mungu anakuona!Utakapoenda kuliwa wewe