Waiter zungusha tenaLabda balimi
hakika ukapokee buku 7 yako
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛Nashukuru malaria iliyonipiga hivi majuzi kesho nitakua na kisingizio kuwa nipo kwenye dozi, naomba Mungu na mvua inyeshe ili tusileteane madharau mjini
Njoo kwa mr zero sema nimpige pin huyo mrembo niliyemuandaa uje uzibe gape
mkuu ukiwa na afya njema kila siku ni siku kuu, usisubirie sikukuu kama hizo ndipo ujirusheElfu kumi tu mkuu bia 4 na kitimoto nusu uko wapi ?
Nitatoka na mume wangu...pocket money anayo yeye mwenyeweUmejipangaje mtoko wa kesho ? Utatoka na nani ? Umejiandalia pocket money ya shilingi ngapi?
Binafsi kesho niko tu gheto na mtoto mkali atapika tukimaliza kula tu ndio muda wa kumla mpishi mpaka Morning siku ile ya boxing day,
Itakuwa ni mwendo wa kuamka kunywa maji na kuendelea na game
Cc Zero IQ.
Tukutane dar live mbagaraUmejipangaje mtoko wa kesho ? Utatoka na nani ? Umejiandalia pocket money ya shilingi ngapi?
Binafsi kesho niko tu gheto na mtoto mkali atapika tukimaliza kula tu ndio muda wa kumla mpishi mpaka Morning siku ile ya boxing day,
Itakuwa ni mwendo wa kuamka kunywa maji na kuendelea na game
Cc Zero IQ.