Yaani huyu bi.mkubwa anaona Mungu kampendelea sana eeehhh!!??Mmh kazi ya Mungu Haiingiliwi. ....
BTW so katika vitu vyote alivyowazidi hao wanaofananishwa naye, kubwa ni kwenda labour mara 4?
mi kanikwaza maana nna aunt yangu hana uwezo wa kuzaa!!halafu yuko good in evryrthing kashaambiwa yy ni taxa kabisa yaan daah!Mdomo uliumba...baba Mungu onyesha uwezo wako kwa wanaojikweza.Aaaaamen
TEHETEHE PUNGUZA JAZBA...... HUJASKIA STORY YA UPANDE WA PILI. ALIFANYWA NINI MPAKA AKAJIBUYani nilikua nampenda but today nimemshusha ptuuuu!!!!
kuzaaa ni majaliwa mamamaa....!
Neema aliyopewa ya uzazi isiwe kibri kwake!!akumbuke hujafa hujaumbika Mungu anaweza kukubadilisha ndani ya Dkk sifuri,kuna machungudoa kibao wana watoto na wapo walokole Mungu hajawapa hyo neema
Mpuuzi huyu bmkubwa...!!
km yy ndo wa kwanza kuzaa hapa ulimwenguni!!au km hatokuja kufaaa!!!sipendi anaekashifu wasiozaa!!
Wangapi wametoa na wanatoa mimba na bado wanazaa!!
asitake kujifanya yy ndo yy!!Mtu mzma kutwa kwenye mitandao kushindana na watoto wadogo!!HV hana kazo ya kufanyaa!!
kuzaa kazaa mende,pànya anabeba mimbaa!!
Aashe mahashuo afanye kazi kutwaa mitandaoni akopeshe ht chupi huko kwao bas tujue biashara zake
Nyau wa kiganda!!!
TEHETEHE PUNGUZA JAZBA...... HUJASKIA STORY YA UPANDE WA PILI. ALIFANYWA NINI MPAKA AKAJIBU
Hata james delicious kwani wazazi wake walijua atakua vileCc Ray c
Mmh kazi ya Mungu Haiingiliwi. ....
BTW so katika vitu vyote alivyowazidi hao wanaofananishwa naye, kubwa ni kwenda labour mara 4?
Ni ww tu ndo hujui biashara zake,,hujiulizi kwann wanamuita the bos ladyYani nilikua nampenda but today nimemshusha ptuuuu!!!!
kuzaaa ni majaliwa mamamaa....!
Neema aliyopewa ya uzazi isiwe kibri kwake!!akumbuke hujafa hujaumbika Mungu anaweza kukubadilisha ndani ya Dkk sifuri,kuna machungudoa kibao wana watoto na wapo walokole Mungu hajawapa hyo neema
Mpuuzi huyu bmkubwa...!!
km yy ndo wa kwanza kuzaa hapa ulimwenguni!!au km hatokuja kufaaa!!!sipendi anaekashifu wasiozaa!!
Wangapi wametoa na wanatoa mimba na bado wanazaa!!
asitake kujifanya yy ndo yy!!Mtu mzma kutwa kwenye mitandao kushindana na watoto wadogo!!HV hana kazo ya kufanyaa!!
kuzaa kazaa mende,pànya anabeba mimbaa!!
Aashe mahashuo afanye kazi kutwaa mitandaoni akopeshe ht chupi huko kwao bas tujue biashara zake
Nyau wa kiganda!!!
Daaah binamu kuna watu hata kutoa mimba hawajawahi Ila wanavyohangaika kutafuta mtoto mmhYaani huyu bi.mkubwa anaona Mungu kampendelea sana eeehhh!!??
mi kanikwaza maana nna aunt yangu hana uwezo wa kuzaa!!halafu yuko good in evryrthing kashaambiwa yy ni taxa kabisa yaan daah!
MTU anaingilia kazi ya Mungu!!
Sikatai kuna watu huwa wanakera, but tuchunge midomo yetu tusije tukamkufuru Mungu. Yani binadamu ukifanikiwa unaona kama wenzio wasiofanikiwa ni wajinga sijui sio wajanjaHaya ni majivuno ya kawaida tu kwa waafrika(kwa upu.mbavu mwingi uliotujaa)Utasikia mimi kidume nimezaa kidume mwenzangu!Ama nina dushe kubwa(kujaaliwa),au mtu anauliza unawezaje kukosa hela?,pia mi mkali unanilinganishaje na mshamba yule?!Yapo mengi majivuno kwa hiyo acheni naye ajivune si ana akili sana hadi amepata hayo yote
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Yanaitwa majigambo vitu vya kawaidaSikatai kuna watu huwa wanakera, but tuchunge midomo yetu tusije tukamkufuru Mungu. Yani binadamu ukifanikiwa unaona kama wenzio wasiofanikiwa ni wajinga sijui sio wajanja
Kuna muda kweli tunafanyaga utani, but usifanye utani au kujigamba hadi ukamkufuru Mungu.Yanaitwa majigambo vitu vya kawaida
Sawa na kuwasema
Watu wa Wafupi
Wanaume Wenye vibamia
Wana wake Flat screen
Hayo mambo yapo tuu
hivi alimjibu nani ? chanzo cha snapchat hiyo kurushwa ni nini?hata biblia ukiisoma vipande huweizi kuielewa.......Hata ukifanywa nini usiingie kwenye kufuru... Mungu anaweza kuwachukua sekunde tu...na usiwapate tena
Hakuna uongo aliyo sema.
yalaaaYanaitwa majigambo vitu vya kawaida
Sawa na kuwasema
Watu wa Wafupi
Wanaume Wenye vibamia
Wana wake Flat screen
Hayo mambo yapo tuu
kasema kweli msimuhusishe mungu na snapchat.... huyu aliyetoa mimba hakumkufuru allah?.....acheni kutetea upuuziKuna muda kweli tunafanyaga utani, but usifanye utani au kujigamba hadi ukamkufuru Mungu.
Na kwa wale ambao hawajatoa ila hawajajaliwa watoto? Na kuna wengine walizaa ila hawana watoto leo. So ni neema tu na sio ujanja wakekasema kweli msimuhusishe mungu na snapchat.... huyu aliyetoa mimba hakumkufuru allah?.....acheni kutetea upuuzi