Mm namkubali sana ni mzuri sana, uchotara wake unambeba, wema hawezi kumfikia hata kwa nukta
Kaona kuzaa ni dhahabu mno wakati hata paka anazaa ,ye azae tu sio lazima kila mtu azae katika dunia hii alaaa
Snap chart kumekucha yule the boss lady Zari. Wa dimond amepost katika uwanja wake wa snap chart kuwa asifananishwe na warembo wengine amabo hawajawahi kwenda labour hata siku moja
"Msinifananishe na virembo malaya vyenu amabavyo havijawahi kwenda labour hata siku moja nina miaka 35 na watoto 4 lakini bado mimi mrembo ninaita " mwisho wa nukuuu
Sio kwa michirizi hiyo halooohuyo zari ni wakawaida Sana sema editing zinambeba sana
Alibeba sana ngada na kuna Ivan na pia hana tofauti na ma ubaya coz wote ni mama huruma ila Zari kwa kazi ingine ni baby factory na anaishi kwa nguvu ya child supportWhat does Zari actually do? I am still wondering. She started out on a cowboy show. But who is she?
ni mremboo bwana acha wivu.ha ha haNayeye asitake ku-generalize, kama Diamond kamwambia yeye ni mrembo asidhani wote tunamuona hivyo
Tuache hasira jmn ukweli lazma usemwe,anajiedit au la Zari ni mrembo sanaNayeye asitake ku-generalize, kama Diamond kamwambia yeye ni mrembo asidhani wote tunamuona hivyo
Nguvu Kijijini mjini akiliAlibeba sana ngada na kuna Ivan na pia hana tofauti na ma ubaya coz wote ni mama huruma a.k.a expensive sluts ila Zari kwa kazi ingine ni baby factory na anaishi kwa nguvu ya child support
ya leo mkuu... ninachomsifu huyu mama ni mazoeziHapo alikuwa na umri gani? Kwenye hiyo picha
Watoto hawa! Kula wana kula, kulala wana lala lakini mh!! malayaaa
We mama Sabrina...
Cc Ray cKuzaa kusimpe nguvu kikubwa aombe uzima watoto wake wakue katika maadili wangapi walizaa watoto na leo hii wamekua vituko vya jamii angekaa kimya silent is the best weapon
Ila atambue kuzaa ni majariwa sawa wema Ana vijitabia vinakera lkn linapokuja kwenye suala la kuzaa mm huwa roho inaniuma wanavomuandama mdada wa watu hadi sometimes analia .. Huyo zari angekaa kimya tu lkn sio kuingiza kizazi chake ktk bifu za kijingaKaona kuzaa ni dhahabu mno wakati hata paka anazaa ,ye azae tu sio lazima kila mtu azae katika dunia hii alaaa
Kweli kabisa mkuu,Huu ni upagani uliovuka kiwango cha ushetani. Huyu mtu anatakiwa kupewe fundisho ili ajue Yuko Mungu Anayemiliki Mbinguni na kutawala duniani.
Kutokkuwa na Mungu kwake hakumpi uwezo wowote wa kujiweka juu ya Mungu. Anahitaji kufundishwa kwa nguvu iliyojuu ya uwezo wa binadamu ili awe mfano hai na fundisho kwa wapumbavu kama yeye.