Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,956
- 95,342
Maisha yana mengi, unavyokua ndo unazidi kujitambua na kuvumbua vipawa vyako. Yupo vizuri sana kungwiMy school mate sikuwahi kujua anaweza kuwa kungwi the duh...
Maisha yana mengi, unavyokua ndo unazidi kujitambua na kuvumbua vipawa vyako. Yupo vizuri sana kungwiMy school mate sikuwahi kujua anaweza kuwa kungwi the duh...
Namsoma sana. Hanaga noma.Kumbe unamjua huyu kungwi wa fb kutoka Arusha..
Omotola jaladeTuache hasira jmn ukweli lazma usemwe,anajiedit au la Zari ni mrembo sana
Panga Akina mama/dada wa watoto 4 unaowajua afu tuambie nani anaibuka kidedea,penye sifa tuzitoe wema kwa zari cha mtotoo
IreneMaisha yana mengi, unavyokua ndo unazidi kujitambua na kuvumbua vipawa vyako. Yupo vizuri sana kungwi
Na yale mabaka miguuni kama mbuyu twite anataka kurusha mpira
NASHANGAA sana wanamtetea huyu utamu wa taifaNani alimtuma?! asimchokonoe mungu hakutumwa achokoroe mimbauzazi tunachezea wenyewe, mungu anakupa uzazi wa kutosha lakini kutwa uko maria stopes maana hujajiandaa, siku ukiamua unataka mungu nae anakubania, wale uliotupa chooni kwani hawakua watoto..!! mungu hataniwi hata siku moja. acha waisome namba wale waliotupa watoto.
Diamond-2NASHANGAA sana wanamtetea huyu utamu wa taifa Nani alimtuma asimmchokonoe mungu hakutumwa achokoroe mimba
SeriouslyDiamond-2
Kanumba-2
Jumbe-3
Chaz baba-1
Aku kwa wengine akizaa watoto wa2 tuu kachuja mie namuona mremboNayeye asitake ku-generalize, kama Diamond kamwambia yeye ni mrembo asidhani wote tunamuona hivyo
Utatafsirije "HOES" aliyoandika ilete maana kusudiwa?Ungeandika kwa Kingereza kama alivyoandika kisha ndo utafsiri!
Hata mimi mke wangu ana watoto watatu, lakini namuona Mrembo bado, lakini siyo kwasababu mimi namuona mrembo bado ndo aende hadharani kujisifu kwamba yeye ni mrembo huwenda kuna watu wanamuona yupo chini ya wastaniAku kwa wengine akizaa watoto wa2 tuu kachuja mie namuona mrembo