Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,861
- Thread starter
- #41
Sipati picha November JF patakueje!!!!
Wanachama wanaotembelea JF watapungua kwa 50%, halikadhalika kwa wanachama wa CHADEMA ndani ya Chama watapungua kwa kiasi hicho hicho.
Yaliyompata MREMA baada ya mwaka 1995 NDIO YATAIKUMBA CHADEMA. Ndugu zangu wa MILIMANI mnabahati mbaya.