Maneno mengi mimi sitaki, tuwekeeni YOU TUBE ya huko Songea kama mnataka tumalize mjadala. Hivi ni vigumu sana kufanya hivyo?
Mimi ningeiweka hapa, lakini mlivyowabishi mtasema nimeitengeneza kwa hiyo sioni haja ya kupoteza muda. Na kwa maana hiyo ndio Ningefurahi kweli kama MKEREKETWA WA CHADEMA 'AMOEBA' # 29 ANGETUWEKEA Y. TUBE. Hebu msikilize alivyoandika hapa chini, ukweli hata simuelewi anachoandika.
"Zawadi Ngoda, acha kuwaongopea watanzania, bahati mbaya kabisa mimi nilikuwepo na bado nipo songea mpaka sasa! Unaongea na watu au unaangalia kijani, unaongelea wale wamama wa kijiji cha mtanguimbole walokuwa mamevaa vitambaa vya kijani? Unajua kata yenye watu wengi kuliko zote songea..uliona kilichotokea barabarani wakati "mhesimiwa" anapita? "
Chuki pembeni, angalieni hali halisi kwani siku zilizobaki ni chache na ndio kwanza Mh Slaa kapanda mpaka 12%. Je aneweza hata kuzikusanya angalau 12% zaidi ili afike 24 mpaka 31.10?