Elections 2010 Umati wa Songea ni tishio kwa Slaa

Sipati picha November JF patakueje!!!!

Wanachama wanaotembelea JF watapungua kwa 50%, halikadhalika kwa wanachama wa CHADEMA ndani ya Chama watapungua kwa kiasi hicho hicho.

Yaliyompata MREMA baada ya mwaka 1995 NDIO YATAIKUMBA CHADEMA. Ndugu zangu wa MILIMANI mnabahati mbaya.
 
Shallow thinking.....usiangalia nchi za wengine angalia nchi yako....na mimi nikisema tuwaulize wabotswana,watunisia,wamauritius? hizo si nchi za kiafrika? mbona wana maendeleo? that is why we will not develop when you have people like you who support mediocre and are satisfied with mediocrity....pole sana

Cerezo your right don't take your neighbor problems as your point of development. If he don't eat three times a day and you are telling your kids "look the other house have no meal so let's be like them" thats foolish thought.
 
Watu walikuwa wanaupinga utafiti wa synovate na redet kwa namna ulivyofanyika,kwa kuwa utafiti ufanyika kwa vigezo maalumu,ambavyo vikifuatwa hutoa matokeo ambayo yana uhalisia!Sasa utafiti uliyofanywa so far kuhusiana na hali ya siasa nchini Tanzania haukidhi vigezo hivyo?suala la asilimia ngapi kapata nani,hapa halina umuhimu wowote?kwa mfano sample of too small,kwa sababu katika wapigakura million 19,ni watu 2600 walihojiwa na redet,ambayo ni sawa na asilimia 0.01 ya wapigakura wote wanaotarajiwa kushirika katika zoezi la kupiga kura mwaka huu!pili tafiti hazionyeshi ni aina gani ya watu waliohojiwa,mfano vijana,wazee,wanawake,wanaume na n.k
Zawadi Ngoda:Kujaa kwa watu kwenye mikutano ya kampeni hakuufanyi utafiti huo ukidhi viwango vinavyotakiwa kisayansi!,hata kama,Dr slaa akikubaliana na tafiti hizo, bado zitakuwa hazikidhi viwango stahiki!inanekana wewe ni mbumbumbu wa suaha zima la tafiti!unachojua wewe ni ubishi tu kati ya CHADEMA na CCM,na kushabikia bila sababu ya msingi.soma upate ufahamu zaidi kuhusu mambo ya tafiti.
 
Kubali msikubali kikwete yuko juu na anasela sio kama slaa akisimama jukwaani yeye n kuongelea majina ya watu na matusi na kshfa tunahitaji sera na si hayo.kikwete kafanya mengi japo mnamacho hamuoni huwzi kulinganisha miaka ya nyuma na sasa

Ndugu yangu kiswahili hujui typing hujui lakini unaingia kwenye mtandao wa great thinkers eti utuhabarishe! Wewe ndiye usiye na macho usiyeweza kuona jinsi unayemshabikia anavyoliangamiza taifa na kulipeleka shimoni. Inasikitisha kuona wajinga ni wengi mno nchi hii.
 
Duuu hhhh CCM wanajitahidi kumnadi mgonjwa wa kifafa - Mungu epusha uchaguzi mdogo wa Rais kabla ya 2015, tupe Rais atakayekata maji hadi 2020 none stop.
 
Wanachama wanaotembelea JF watapungua kwa 50%, halikadhalika kwa wanachama wa CHADEMA ndani ya Chama watapungua kwa kiasi hicho hicho.

Yaliyompata MREMA baada ya mwaka 1995 NDIO YATAIKUMBA CHADEMA. Ndugu zangu wa MILIMANI mnabahati mbaya.
Unajidanganya sana unapotaka kulinganisha hali ya miaka kumi na tano iliyopita na wakati huu endelea kuota ndoto za alinancha wakati huu hata mbinu za kuiba kura zote zinajulikana sijui CCM mutapita mlango upi,kibano chenu kinakaribia,anzeni kuaga mapema nadhani wengine mutahamia kwa wahindi India ,Saa ya ukombozi ni sasa tunahitaji viongozi wakuteletea maendeleo sio viwavi wanaokula kwa mikono ****** na vinywa
 
Maneno mengi mimi sitaki, tuwekeeni YOU TUBE ya huko Songea kama mnataka tumalize mjadala. Hivi ni vigumu sana kufanya hivyo?

Mimi ningeiweka hapa, lakini mlivyowabishi mtasema nimeitengeneza kwa hiyo sioni haja ya kupoteza muda. Na kwa maana hiyo ndio Ningefurahi kweli kama MKEREKETWA WA CHADEMA 'AMOEBA' # 29 ANGETUWEKEA Y. TUBE. Hebu msikilize alivyoandika hapa chini, ukweli hata simuelewi anachoandika.

"Zawadi Ngoda, acha kuwaongopea watanzania, bahati mbaya kabisa mimi nilikuwepo na bado nipo songea mpaka sasa! Unaongea na watu au unaangalia kijani, unaongelea wale wamama wa kijiji cha mtanguimbole walokuwa mamevaa vitambaa vya kijani? Unajua kata yenye watu wengi kuliko zote songea..uliona kilichotokea barabarani wakati "mhesimiwa" anapita? "

Chuki pembeni, angalieni hali halisi kwani siku zilizobaki ni chache na ndio kwanza Mh Slaa kapanda mpaka 12%. Je aneweza hata kuzikusanya angalau 12% zaidi ili afike 24 mpaka 31.10?

Shida yako ni video ya siku hiyo, sema unataka tukuwekee ipi, ya majimaji? Unataka kkuangalia umati wa watu na kilichowaleta, au unataka tukuwekee mpaka wakati wanapokea "posho"?, Ungeniambia ameongea jambo flani la maana NINGEWEKA HAPA wote waskie! Hiyo asilimia 12 unayosema ni ipi, ya REDET? Mbona husemi asilimia ya JF ambayo hata wwe umeshirikishwa katika kupiga kura? Unaongea na watu, au unaangalia rangi ya kijani? Amini nakwambia, kati ya watu kumi wanaovaa kijani wanne watamchagua Slaa!
Naamini hata wewe siku ya kura utampigia Dr Slaa!
ACHA CHUKI NA UBINAFSI, FANYA MABADILIKO KWA AJILI YA TZ IJAYO!
 
Wanachama wanaotembelea JF watapungua kwa 50%, halikadhalika kwa wanachama wa CHADEMA ndani ya Chama watapungua kwa kiasi hicho hicho.

Yaliyompata MREMA baada ya mwaka 1995 NDIO YATAIKUMBA CHADEMA. Ndugu zangu wa MILIMANI mnabahati mbaya.

Ala! kumbe tunahangaika kuchangia thread ya mtu mwenye mawazo hasi ya mgando, tena amejaa UKABILA ! Shule yako imeanza kunitia wasiwasi!
 
Pale Songea mjini, CCM haina chake. Watu walifurika uwanjani kufuata burudani.

Mtuulize sisi watu wa huko ku-Songea mambo yalivyo. Wilayani Mbinga upinzani bado hauna nguvu, ila si Songea mjini. Bwana Emmanuel Nchimbi ajitahidi kuiba tu, na si vinginevyo.
 
Wanachama wanaotembelea JF watapungua kwa 50%, halikadhalika kwa wanachama wa CHADEMA ndani ya Chama watapungua kwa kiasi hicho hicho.

Yaliyompata MREMA baada ya mwaka 1995 NDIO YATAIKUMBA CHADEMA. Ndugu zangu wa MILIMANI mnabahati mbaya.


  • Na MABALOZI nyumba kumi kumi watapotafuta wa kukimbilia kwa AIBU
 
Umati mkubwa kwenye mikutano ya kampeni ya CCM si kwa sababu watu wanampenda JK; Watu wanapelekwa na malori, mabasi nk. baada ya kupewa tisheti, kanga na fedha. Kama wanajiamini kwa nini wanakusanya watu na malori na mabasi? Na hakika kama hawatakusanya watu mikutano yao itadorora.

Wewe unayeshabikia CCM imekusaidia nini?
 
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.

Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.

Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.

Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.

Umati huwa unafuata mambo mawili matatu:Fulana.
Bongo Fleva
Kuona kama JK huwa anaangukaje jukwaani?
 
Prof. Lipumba, Hashim Rungwe na wengineo wamejitoa kugombea uraisi? Kama bado wapo kwanini umati wa JK uwe tishio kwa Dr. Slaa?
 
Na ukiwauliza wakenya swali hilo hilo jibu litakuaje? Wakongo Waganda? Waethiopia? wazambia? wamalawi? Kama majibu yao yatafanana basi tatizo laweza kuwa sio utawala.

Taratibu ndugu..muulize Mkenya yeyote if they are better of than they were five years ago usikie jibu lake..unaniudhi wewe!??unaropoka tu..
Na Uganda na Museveni wana tofauti gani na sisi na Kiwete? Malawi Zambia..jibu lao ni sawa na Mkenya...usiropoke tu!
Tanzania imeshuka sana..na si tu kwa kujilinganisha na nchi nyingine but ukiangalia resources tulizonazo na where we could be now!
Ah, inaniuma sana....Chagua CCM chagua CHADEMA, CUF, etc...lakini ujiulize pia; "Where do I want to see Tanzania in five years to come"
Na je, huyu kiongozi nitakayempigia kura, ataweza kunisaidia kufika ninapotaka kufika!??
Fikiri, na fanya uamuzi sahihi. Huu si wakati wa kushabikia chama ama mtu kwa sababu flani flani zisizoendana na sifa za kiongozi bora..TUAMKE!!!!!
Mungu Ibariki Tanzania...Amen.
 
Nilisoma kwenye thread moja kuwa ITV walichakachuwa ile video, sasa sijui nani mkweli hapa.
 
Na ukiwauliza wakenya swali hilo hilo jibu litakuaje? Wakongo Waganda? Waethiopia? wazambia? wamalawi? Kama majibu yao yatafanana basi tatizo laweza kuwa sio utawala.

Kwani haiwezekani waafrika wote tukawa na shida ya utawala?
 
Taratibu ndugu..muulize Mkenya yeyote if they are better of than they were five years ago usikie jibu lake..unaniudhi wewe!??unaropoka tu..
Na Uganda na Museveni wana tofauti gani na sisi na Kiwete? Malawi Zambia..jibu lao ni sawa na Mkenya...usiropoke tu!
Tanzania imeshuka sana..na si tu kwa kujilinganisha na nchi nyingine but ukiangalia resources tulizonazo na where we could be now!
Ah, inaniuma sana....Chagua CCM chagua CHADEMA, CUF, etc...lakini ujiulize pia; "Where do I want to see Tanzania in five years to come"
Na je, huyu kiongozi nitakayempigia kura, ataweza kunisaidia kufika ninapotaka kufika!??
Fikiri, na fanya uamuzi sahihi. Huu si wakati wa kushabikia chama ama mtu kwa sababu flani flani zisizoendana na sifa za kiongozi bora..TUAMKE!!!!!
Mungu Ibariki Tanzania...Amen.
Hapa umesema, kumbe tuna GREAT THINKERS hapa JF!

Wote tunajua kuwa Rais atayetufikisha pale Watanzania tunapotaka kati ya hawa wagombea hayupo.

Lakini ngoja niwaeleze kwa ufupi: Matarajio ya Safari yetu ni kufika kilomita 1000. Kikwete Hashim anaweza kutufikisha mpaka km 200, Lipumba mpaka km 444, Slaa mpaka km 445 na Kikwete mpaka km 750. Bila kusita mshindi ni Kikwete, na hilo ndio Chaguo la Watanzania tar 31.10

Aliyoyafanya ni mengi na anahitaji kumalizia tu kwa kipindi cha miaka mitano.
 
Zawadi vp tisheti za ccm zimeisha? Maana juzi nilisikia ulikuwa umejaza gari ile nyeusi makofia na manguo ya kijani na kuyagawa mitaa ya magomen. Alaf wanaTAKUkuru piteni magomen mitaani mupate habari mana Ijumaa kila mkazi kahaidiwa sh.2000 na mgombea fisadi wa udiwani na ubunge. Alaf shahada za wanafunzi wa kidato cha 5&6 Green Acres mbezi zilikusanywa kwa matroni baada ya kutoka kujiandikisha kwa malori pale magomen. Mi nilishuhudia je ili si kosa? Naomba wenye sheria za uchaguzi watueleze.
 
Back
Top Bottom