Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.
Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.
Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.
Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.
Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.
Na ukiwauliza wakenya swali hilo hilo jibu litakuaje? Wakongo Waganda? Waethiopia? wazambia? wamalawi? Kama majibu yao yatafanana basi tatizo laweza kuwa sio utawala.
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.
Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.
Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.
Hatma ya uchaguzi huu haiko huko hata kidogo na kama ni mfuatiliaji mzuri JK sana sana anachofanya ni kutwanga maji kwenye kinu.Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.
Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.
Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.
Kubali msikubali kikwete yuko juu na anasela sio kama slaa akisimama jukwaani yeye n kuongelea majina ya watu na matusi na kshfa tunahitaji sera na si hayo.kikwete kafanya mengi japo mnamacho hamuoni huwzi kulinganisha miaka ya nyuma na sasa
kubali msikubali kikwete yuko juu na anasela sio kama slaa akisimama jukwaani yeye n kuongelea majina ya watu na matusi na kshfa tunahitaji sera na si hayo.kikwete kafanya mengi japo mnamacho hamuoni huwzi kulinganisha miaka ya nyuma na sasa
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata wagonjwa waliolazwa hospitali walijikongoja kwenda kumuona na kumsikiliza.
Sasa Mh Slaa anajiandaa kuzikubali tafiti zote zijazo za wataalamu hao, huku washabiki wake baada ya kuzungumzia yale waliyoyashuhudia Songea baada yake wanavilaumu vyombo vya habari eti kwa yale wanayoyaita 'ya Mbinga'.
Ni ni kwa sababu kama hiyo iliyomfanya Mh Slaa aghairishe safari yake ya kampeni huko Mtwara na Lindi siku za nyuma. Mpaka sasa wananchi wachache ambao ni wapenzi wa CHADEMA wa Mtwara NA Lindi hawajaelezwa na wala hawaelewi kwanini kwaangusha.
Wanachadema ni wazuri sana wa kuweka YOU TUBE hapa uwanjani, basi tuwekeeni na yale ya jk kule SONGEA.
Zawadi Ngoda-nina wasiwasi na ubongo wako kuna uwezekano mkubwa ukawa na utindio wa ubongo to the extent huwezi kabisa kufikiri, thinking capacity is low, shallow, na kubwa zaidi wewe unaweza ukawa ni mtoto wa pembeni wa fisadi moja, ama kweli moto umewawakia sasa maji shingoni mnahaha kutafuta jinsi ya kuiba kura mnajihami sana ila tunasema 2010 hatudanganyiki-kazi pevu mnayo mitandao yenu yote tunayo tutawafuatilia kwa ukaribu sana. BIG UP SLAA
Nasema hiviii.. kama kweli mnataka kujua watu wanafata nini kwenye mikutano ya CCM, ACHENI KUANDAMANA NA WASANII, watu wanafuata akina Diamond na wasanii wengine ambao wako kazini TU SI UPENZI. Mwambie Rais anayeondoka madarakani hivi karibuni ( oct 31, 2010) aachane na hilo kundi la watafutaji (wasanii) aone kama hajahutubia vumbi linalotimuliwa na helkopta yake akitua na majani uwanjani..
Thubutu!!!!!!! mtaumbuka nyieeeee.. ohooo... siku hiyo badala ya kucheka-cheka mtalia-liareggers: