Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Mleta mada anazungumzia kujenga nyumba. Stick to the point.Kizuri kichukue kibaya achana nacho. Wahindi ni katika watu wenye mafanikio makubwa katika kurithisha watoto wao mali zao tena na tena. Ni kwa sababu wanajua jinsi ya kuitumia pesa kuongeza ziwe zaidi bila anasa. Somo hilo litakufaa wewe na hata wanaokuja baada yako