Napingana na ww Kwa 200% big 5 ya uchawi ni rukwa+katavi(ndugu moja) Tanga, shy+simiyu,kigoma na lindiNimetembelea mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Kagera (yote), Morogoro, Dar es salaam, Pwani, Rukwa, Katavi, Mbeya (Nyumbani) na Shinyanga. Ila hakuna mikoa yenye uchawi na ushirikina wa wazi kama DAR ES SALAAM NA pwani.
Ingawa kila sehemu uchawi upo ila Mikoa ya Pwani ni wamezidi.
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.
Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.
WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Jina lenye utukufu hafu unaogopa hirizi na maneno ya kiarabu? Chukua choma moto huku ukimtukuza KristoWanyaki bila kualika/kuwakaribisha wawekezaji nje ya meya huo mji utabaki kuwa magofu na mbavu za mbwa kama ulivyo sasa! Badilikeni.
nina biashara ya maduka mikoa 6 Tanzania ikiwemo Mbeya.Mbeya kumezidi uchawi sana huwezi fanya biashara bila kuwa mshirikina....Nilikuwa na duka Kabwe nikalifunga kwa ajili ya ushirikina wa wanyakyusa
Duh makubwa hayaMie nilidhani Nyanda za Juu Kusini mkoa wenye wachawi wa wazi ni Njombe kwa kuwa nina ushahidi wa watu waliologwa hadharani. mfano wa kwanza kuna ndugu yangu anafanya kazi huko Njombe, Lupembe, Havanga, Kidegembiye aliamua kufuga nguruwe, nguruwe wake mmoja akawa na mimba, akapita bibi akamwambia maneno haya "hivi unatarajia kupata vitoto vya nguruwe eee, nakwambia hiyo sahau" na kweli siku nguruwe ana zaa akawa anatoa placenta a.k.a kondo la nyuma tuu hakuna kitoto hata kimoja!
Mfano wa pili ni yule binti Bernadetha Msigwa aliyepata upofu akiwa anasoma Mzumbe mwaka wa tatu na JPM akachangia 10,000,000 baada ya kusikia habari zake Clouds, yule binti baba yake ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi, alikuwa hana mkopo wa masomo, majirani walisema hadharani kuwa tutaona kama kweli atamaliza hiyo chuo kikuu yake, na kweli Berna amekuwa kipofu hadi leo
Nashangaa sana Mbeya maji yapo lakini wenyeji wachafu hata kuoga shida hawa jamaa sijui wana matatizo gani...
Kanda ya ziwa ndo wanaongozambeya kuna makanisa kila kona lakini wanaongoza kwa uchawi
Nje ya siasa unatoa statement ambazo ni sensibleDah mkuu nilifika kule chunya, sina hamu nako kabisa!
Umeambiwa mbeya ndo kiboko yaoNapingana na ww Kwa 200% big 5 ya uchawi ni rukwa+katavi(ndugu moja) Tanga, shy+simiyu,kigoma na lindi