ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

Mbeya ndiko kuna ugagula na ujima wa kudhikisha wageni. Kisa ni wivu na ushamba!. Full stop. Mbeya hakuna mchanganyiko. Na kwa kuwa wengi nihao hao magagula, malaya, wivu na washamba, wageni wako kivyoa wanajitenga mbali sana na ninyi. Lakini bado mnawafuata. Mbeya ni mijitu mikatili isiyo na huruma. Finyamana!
 
Weeeeeeeeeeeee acha uwongo!. Usangu nzima imejaa wanyakyusa, hadi kwenye mashamba ya mipunga n.k. Na vi ndyeki vyao!.
Inasikitisha sana mtu miaka hii kuamini ushirikina kiasi hiki!!!
 
Inasikitisha sana mtu miaka hii kuamini ushirikina kiasi hiki!!!
Ushirikina upo, ulozi upo kama vila ambavyo shetani yupo. Mungu amewapa watu uhuru wa kuchagua njia ya kuiendea. Wanyakyusa wamechagua ushirikina kwa sababu za unafiki, na uonezi, ubaguzi kwa sababu za wivu na ubinafsi. Na ndiyo sababu mji wa Mbeya ungelikuwa unawatu binadamu, bila shaka ungelikuwa mbali sana kimaendeleo.

Kwa ajili ya hayo, ni kwamba watu wa Mbeya ni washirikina na usijidanganye, ushirikina huo wanatembeaga nao kila wanakoekda. Kaa nao kwa akili.

Wewe kaa nao kwa Nguvu za Mungu. Kurogwa na kuathirika na washirikina, hakuhitaji wewe uamini kwa kuwa uamini uasiamini utaona watakayokufanyyia hao vigagula.
 
Mkuu kuna wale watu imani ya dini huwa imewajaa sana. Wanaamini wanaweza wakaomba na magonjwa yakatoka, ukimwi ukapona, wakawa matajiri, wakapata watoto, wakafufua watu, wakaponya vichaa, wakaponya vilema nk.

Na wanaoamini sana ushirikina(washirikina) kama wewe, huwa wanaimani kali sana kuwa uchawi unaweza wadhuru, kuwaletea magonjwa, kuwapa utajiri, kulipa visasi, kupaa😀, kuwatibu magonjwa, kuleta Nairobi Fly😀,kuleta ajali za barabarani, kuleta ajali za moto nk.
Extrimism kwenye hizi imani ni dalili ya ujinga.
 
Ila kweli wanyakyusa wana wivu balaa
 
maneno ya kiarabu kumbe ..mm nikajua ya kinyakii
hamna mwaisa shekhi
 
kuwa na hakika yule si mnyakyusa na mbalali hawaishi wanyakyusa
Hapo mbalali ni hatari sana. Majuzi c ndio gari ka Isamilo lilidondoka. kuna dada mmoja na mtoto wake wakafa. Kumbe kuna mu babu wa hatari?!!
 
Nashangaa sana Mbeya maji yapo lakini wenyeji wachafu hata kuoga shida hawa jamaa sijui wana matatizo gani...
Mimi nilijua ni baadhi ya niliowaona. Nilikutana nao A level ni wachafu balaa, nikaja chuo nikatoka na manzi mmoja wa uko ni mchafu, wenzake wa uko ni wachafu. Nikawa naongea na manzi mmoja nilisoma nae yuko MUST akanambia ule mji mchafu balaa. Mpaka hapa huwezi badilisha mtazamo wangu, ni wachafu!
 
Duh, po mbombo ngafu!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
😂 Vipi mzee mbona una hasira nao walikupumulia nini
 
Kama nyumba za hapa Soko matola jamani yani ni magofu nyumba zimechoka balaa
Wanyaki bila kualika/kuwakaribisha wawekezaji nje ya meya huo mji utabaki kuwa magofu na mbavu za mbwa kama ulivyo sasa! Badilikeni.
 
Kumbe ndio walivyo
 
Mkuu Mwanjelwa siyo eneo la wanyakyusa, ingekuwa Rungwe au Kyela sawa, hapo kuna mchanganyiko wa Wakinga, wasafwa, Wandali, Wanyiha,Wanyamwanga, wambugu, wamamalila, wasangu........hapo ni mchanganyiko wa makabila mengi sana,Wanyakyusa unawataja kwasababu ni wengi ila kwenye Biashara hapo inawezekana ulikuwa unashindana na mkinga, hao lazima ukimbie tu no way
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…