Ulokole wa facebook

Ulokole wa facebook

Sio ulokole wa dizaini hiyo ulokole unazungumziwa hapa ni mwingine
mfano wewe khantwe useme umechoshwa na mmeo unataka kuchepuka
heeee tutakurushia maneno hadi ukomeeee
mi mwenyewe ntakusema wakati muda huo naandika nipo juu ya kifua cha mchepuko wangu na mie
kwani unapenda kuwa juu au chini ya mchepuko?
 
Binafsi ni mdau mzuri wa facebook (hasa kipande ya usomaji zaidi wa kile wadau wengine wanachopost). Kwa ufupi kule watu walio wengi ni wema sana, full kuposti mistari ya biblia na kukemea uovu yani kule unaweza kujiona wewe ndio shetani peke yako duniani. Wnawake wengi walio single (hasa wale walioko kwenye 30's na hakijaeleweka) ndio usiseme kwa injili. Yani ni kama dozi (asubuhi mchana na jioni).

Mtu amekula dunia wee hadi dunia imemchoka, mtaani alishachakaza sasa anaona usiku unakaribia suluhisho ni mwendo wa kuposti verse tu

Hapo kwenye over 30 cc lara 1.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mimi huwa nashangaa....mtu kuandika mistari ya bible kwenye wall yake mwenyewe mtu mwingine anaumia nini?

Nashangaa na wewe...! Nini tatizo mtu kuandika kilichoujaza moyo wake? Hata kama anaanguka katika dhambi kila dakika, nani asiyefanya dhambi?

By the way, imani ya mtu ipo kwenye nafsi yake. Wale wanaobeza na kuponda naona ndio wanafiki. Hata hivyo, tunafanya dhambi na inafikia wakati tunabadilika, iwe kwa sababu ya umri, maradhi, matstizo ya dunia, nk.

#totalCrap ..
 
Kaaaarabosiki,Mungu awasaidie mjifunze kumwangalia Yesu Kristo na si mwanadamu.
Je,mnataka Yesu mwenyewe ndiyo ashuke kuwahubiria Habari njema?

Usipojifunza kumwangalia Mungu muwe na uhakika mtaipinga injili ya Yesu kwa blanketi la "huyu anayetuhubiria yeye mwenyewe ana udhaifu fulani"
Yesu wasaidie vijana wako hawa!
 
kweli kabisa wangu yaani kuna watu wana madongo mpaka unajihisi we ndo shetani peke yako
bora leo umewaambia
mi sisomagi msg zao maana kkaah!
 
Back
Top Bottom