Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,467
- 11,641
ni hulka ya wanadamu walio wengi, akiona anakabiliwa na mambo beyond his/her control anamrudia Mungu. Hao 30+ washaona mambo yanakuwa magumu sasa wameamua wamlilie Mungu wao
Wokovu ni rohoni, kama wenzako wameamua kupost mambo yanayompendeza Mungu its okey na ww endelea kupost mipicha yako ya kubinua midomo na makalio pamoja na ubongo muvi mwingine, Acha wanaojitambua wamtukuze Mungu kupitia facebook. Over
Charm is deceitful and beauty is vain,
But a woman who fears the Lord is to be praised
hata na wewe unaweza kuta unateseka bila kujua huku ukijipa moyo kuwa nikawaida tu. kumbe unatumikishwa na shetani bila kujitambua kuwa unamtumikia shetani.Aiseeh kumbe ke walio kwenye 30's wanateseka namna hii
Mkuuu unaoaje jiwee???
hata na wewe unaweza kuta unateseka bila kujua huku ukijipa moyo kuwa nikawaida tu. kumbe unatumikishwa na shetani bila kujitambua kuwa unamtumikia shetani.
Kama binadamu ili uweze kuendesha maisha yako siku zote hutafuta cha kuegemea. iwe fedha sawa , iwe mapenzi sawa, iwe ndoa sawa, iwe dini/imani sawa n.k.
sasa inapotokea ulichokuwa unakiegemea/belive siyo basi watu wengi hujidanganya kwa kumrudia Mungu kwa gia za ulokole wa kinafki.
Mostly inakuwaga ni sign ya frustration na extremely hardness in there life.
mwanamke mlokole huwa nastuka na :car::car::car:
Hahahahaa wa humu sina hamu nao nawakumbuka kwenye Uzi mmoja hivi ukiwa critisize wanakuambia laana itakufuata wewe na kizazi chako! Ukiwauliza laana?? How? And why? Wanakujibu we subiri utaona! Halafu wana mipasho hao utadhani wanaimba taarabu mashauzi classic! teh teh
Umenikumbusha team ya gwajima
Sio ulokole wa dizaini hiyo ulokole unazungumziwa hapa ni mwingineHivi mimi huwa nashangaa....mtu kuandika mistari ya bible kwenye wall yake mwenyewe mtu mwingine anaumia nini?
hahaaaaa..nadhan ndivyo ilivyo sasa,watu wanaigiza yaani,wadada ndio wanapata shida jamani......unakumbuka line ya jize...aliuza cheni bandia,na yeye akalipwa kwa hela bandia!pale unapokua unaigiza halafu unakutana na muigizaji mwenzako
Ndio..
Nakushukuru kwa kutowagusa wanaume,wao ni weupe peeee.#but thatsnoneofmybusiness
salamu ziwaendee ma madam woooteeee waliokula dunia na wanaendela kula dunia ila facebook na mitandaoni ni full ulokole. ishi maisha yako usiwe mtumwa wa maisha ambayo huyaishi