Ulokole wa facebook

Ulokole wa facebook

Wokovu ni rohoni, kama wenzako wameamua kupost mambo yanayompendeza Mungu its okey na ww endelea kupost mipicha yako ya kubinua midomo na makalio pamoja na ubongo muvi mwingine, Acha wanaojitambua wamtukuze Mungu kupitia facebook. Over

Amen
Ht Yesu alisema acha.magugu yamee.pamoja na.ngano.
 
Wokovu ni rohoni, kama wenzako wameamua kupost mambo yanayompendeza Mungu its okey na ww endelea kupost mipicha yako ya kubinua midomo na makalio pamoja na ubongo muvi mwingine, Acha wanaojitambua wamtukuze Mungu kupitia facebook. Over
kumbe walokole wanazaa kabla ya ndoa
kumbe pia wanawekwa kinyumba??
 
Wokovu ni rohoni, kama wenzako wameamua kupost mambo yanayompendeza Mungu its okey na ww endelea kupost mipicha yako ya kubinua midomo na makalio pamoja na ubongo muvi mwingine, Acha wanaojitambua wamtukuze Mungu kupitia facebook. Over

ubarikiwe mpendwa.hawa dunia imesha wafanya watumwa.kumpenda mungu hakumo ndani yao {1yoh 2:15}
 
Kumbukeni.. Mwenye afya hamuitaji daktari bali walio wagonjwa... Hakuja kwa ajili ya wema bali wenye dhambi...
 
nawaangalia sana dada zangu huku chuo,kujifanya ni watu wa bata,mtoto wa kike mashisha umo,sigara umo,wkend hulali chuo unabadilisha club kama barcelona wanavyopiga pasi,hamna pombe hujawahi kunywa,hamna starehe hujawahi fanya,mabwana kila siku ya wiki imepewa jina la bwana mmoja.kwa kigezo cha kula ujana,having fun,and other hell lotta shitty excuses.
sio kuingilia maisha ya watu but to some extent,they are doing too damn much.
sasa mtu akifikisha mid twenties anaanza seeking for a partner,sasa kwa starehe zote hizo alizo na anazoendeleaa kujilipua nazo anataka kuolewa sasa,kimbembe kinaanza.ni mwendo wa ku-play acting mwanzo mwisho ulokole unakumbukwa biblia,semina na kila kitu,ili tu kumpata mr right,and mostly wanategemea mr right awe yule ambaye alitulia zake chuo hakuwa machepele na pa kumpata ni kanisani.
kuna mdada alikua mutu wa bata zisizo na kifani full mifegi,kaolewa at 29 baada ya ku-play act sana hata hajafaidi ndoa akafariki kwa kansa ya mapafu,too bad :mvutaji:
 
Mbona wapo kila sekta? Siasani bungeni serikalini nk nk ulokole unatumika kama chaka la kuficha maovu mengi na mambo mabaya mno
 
Hahahahaa wa humu sina hamu nao nawakumbuka kwenye Uzi mmoja hivi ukiwa critisize wanakuambia laana itakufuata wewe na kizazi chako! Ukiwauliza laana?? How? And why? Wanakujibu we subiri utaona! Halafu wana mipasho hao utadhani wanaimba taarabu mashauzi classic! teh teh
Teamwasafi hawana lolote ni mbwembwe tu za nyuma ya keyboard
 
Charm is deceitful and beauty is vain,
But a woman who fears the Lord is to be praised

Iwe kiukweli sasa sio kiunafiki nafiki kujishow show mtakatifu kumbe mtakavitu tu
otherwise utakatifu ubaki ndani ya nafsi mungu ake ndo amjue
 
Wakuu ni ukweli walokole wa fb ni waigizaj 2 ngoja uone uharisia wake ukmweka ndan utajuta kumfahamu. take care
 
ulokole siyo kama wewe unavyodhani wala siyo kama unavyodhani kuna wadada waliokula maisha halafu wanatumia ulokole kama kinga kimusingi kuokoka siyo uamzi wa mtu mwenyewe bali mungu ndie anaeokoa watu.
 
Back
Top Bottom