Uliye nae sasa ndio wa ndoto yako?

Uliye nae sasa ndio wa ndoto yako?

sema nakwel sio kwa kwel, unaposema kwa kweli unaonesha jins gani unatia huruma naupo namtu ambaye nitofaut san yan sana uliyemuhitaj, sory kama nimekutafsir tofaut
Hamna kawaida tu!
 
Mi hata sielewi, kama nampenda au simpendi

hakika bado dunia hii ina wale wanaume wa jamii ya SCORPION WA BUGURUNI,,,yaan uko na mtu halafu hujui kama unampenda au laaa...aisee ungekuwa karibu yangu ..hakika ningekuchoma sindano ya usingizi wa milele nisingekuacha mwanaume wa aina yako uendelee kututesa katika hii dunia..
 
Thank God nilie naye hakika ni chaguo langu .Yaani vitu vyooote nilikuwa namuomba Mungu anijalie mwanaume mwenye hizo sifa ndo Mungu amenipatia.kwa hakika nafurahia sana maisha ya ndoa.He is the best husband and best father to my kid.
Ngoja na yeye aje atueleze upande wake, huu mchezo hauhitaji mbwembwe.
 
hakika bado dunia hii ina wale wanaume wa jamii ya SCORPION WA BUGURUNI,,,yaan uko na mtu halafu hujui kama unampenda au laaa...aisee ungekuwa karibu yangu ..hakika ningekuchoma sindano ya usingizi wa milele nisingekuacha mwanaume wa aina yako uendelee kututesa katika hii dunia..
Ndio hisia zake lakini. Tusimlaumu, angependa angesema, asingependa pia angesema.
Ndio maana katikati kukawepo yaani kushoto, kulia, katikati au mbele, nyuma, katikati au juu,chini, katikati n.k
 
Back
Top Bottom