Mimi niliyenae sio my dream life wife coz niliowafuata japo nilikuwa na pesa ya kuwahudumia ,waliona mimi ni mpole sana na kuniona labda naigiza so hakuamini kama kweli nampenda ,,Mke wangu nilitaka awe mrefu na mpenda kuvaa kama mimi nilivyo langi nyeusi japo hata mimi ni black na mrefu sana so sikutaka kuowa mfupi ,ila ikuwa2012 nipo chuo Nasoma master's in Linguistics,, ndipo nikapendwa na msichana mzuri black na mwanya ila mfupi ,nikajikuta tunaduu mpaka mimba,,Coz nilijua ninaweza kulea na kuhudumia nikaona tukae nae milele ,,Truly she was not my choice but for now she is my best wife and I love her than any women except my mother na kama natongoza another sure nitakuwa namdanganya tu NB,Sometime we do the wrong choice and turn to be the correct choice ever,,Yaani hata wazazi wangu huwa hawamini maisha yangu yalivyo nyooka na nimejikuta status yangu inachenge ghafla,,Na Leo naonekana the best father ever ,nasema mke wangu anavyonipenda mpaka naona kama nilikuwa na jaji tofauti ,,sasa kazidi kupendeza na simuoni tena mfupi yaani naona kama karefuka tu ila sura ilikuwa nzuri tu ,kumbe ni bonge la demu na figure ya hatariii