flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,442
Habari wanajukwaa pendwa,
Mimi kwa mara ya kwanza naleta mada tuijadili sote, ila kama haitakuwa ngeni humu jukwaani mtaniwia radhi.
Mliopo kwenye ndoa au kwenye mahusiano ya mda mrefu, embu tuambizane huyo uliyenae ndiye aliyekuwa ndoto yako toka ulipoanza kujitambua au upo nae kwasababu amejitokeza/alijitokeza kipindi ambacho wewe ulihitaji kuingia kwenye mahusiano au ulikuwa nashida fulani kwahiyo ukaona umkubalie ili akusaidie shida zako au ulikuwa mpweke ndio akajitokeza akawa mfariji wako kwamda huo naukajikuta umezamia.
Hapa naongelea labda ulitaka boy/girl mwenye muonekano fulani, kiwango fulani cha elimu, kipato, kazi afanyayo, na dini yake ila kwa bahati mbaya ukajikuta upo na mtu ambaye hana kile kitu ulichokipa kipaumbele katika kichwa chako ila ndio hivyo upo nae, embu tuambizane.
Mimi binafsi nilihitaji sana nipate wadini yangu ila kwa bahati mbaya toka nimeanza kudoo sijawahi kumpata wadini yangu, nipo na mahusiano na wadini tofauti na yangu japokuwa amekubali kubadili dini ila najiona bado sijapata kile nikitakacho labda wangebadili dini familia yao yote ila ndio hivyo ishapenda.
Mimi kwa mara ya kwanza naleta mada tuijadili sote, ila kama haitakuwa ngeni humu jukwaani mtaniwia radhi.
Mliopo kwenye ndoa au kwenye mahusiano ya mda mrefu, embu tuambizane huyo uliyenae ndiye aliyekuwa ndoto yako toka ulipoanza kujitambua au upo nae kwasababu amejitokeza/alijitokeza kipindi ambacho wewe ulihitaji kuingia kwenye mahusiano au ulikuwa nashida fulani kwahiyo ukaona umkubalie ili akusaidie shida zako au ulikuwa mpweke ndio akajitokeza akawa mfariji wako kwamda huo naukajikuta umezamia.
Hapa naongelea labda ulitaka boy/girl mwenye muonekano fulani, kiwango fulani cha elimu, kipato, kazi afanyayo, na dini yake ila kwa bahati mbaya ukajikuta upo na mtu ambaye hana kile kitu ulichokipa kipaumbele katika kichwa chako ila ndio hivyo upo nae, embu tuambizane.
Mimi binafsi nilihitaji sana nipate wadini yangu ila kwa bahati mbaya toka nimeanza kudoo sijawahi kumpata wadini yangu, nipo na mahusiano na wadini tofauti na yangu japokuwa amekubali kubadili dini ila najiona bado sijapata kile nikitakacho labda wangebadili dini familia yao yote ila ndio hivyo ishapenda.