Legeza mwendo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 519
- 655
Tulipiga kuraKwani ulimpataje mpaka ucjue kama unampenda?
Tulipiga kuraKwani ulimpataje mpaka ucjue kama unampenda?
Umri bdo unaniruhs mkuu,acha Tu niendelee kutafuta.Uyu nlyenae Ni mchumba WA atakayemuoa,na Mie najua Wang kwa SAS yupo na limtu uko,ILA naomba Tu lisimgeuzeHuyo uliyenae ndio wako huyo sio rahisi umpate aliyeenea kila idara
sawa, nilivyokuwa nakuwa mama ndie mwanamke bora zaidi, nilivyoanza kubalehe nikawa namuomba Allah anipe mke bora sikuwa na ndoto....Ndoto simaanishi tunazoota tukiwa tumelala ila namaanisha niyale mawazo ambayo unakuwa unayaishi ndani yakichwa chako hasa unapokuwa umechagua wito wandoa nakuanzisha familia nakama tunavyojua familia huanzishwa nawatu wawili namtu huyo unamtazamia kuja kuanzisha nae familia unakuwa humfaham, ila unakuwa napicha fulan ndani yakichwa chako yayule umtakaye, sasa swali je yule uliyemtafakar/ uliyekuwa ukimuhitaj kwaajili yakujenga familia ndiye huyo uliyempata au nitofaut?
Yallah mbavu zanguwewe ni dini gani na umedoo na wangapi? maana wengine tushamaliza dini zote hadi freemason
Nipo hoi kwa kucheka hadi mbavu zinaumaYallah mbavu zangu
wala walinikataa kwa sababu ya dini!Uliyena ndio uliyemuhitaji au upo nae kwasababu upo nae? sio haya bwana!
walimtafutia mwanamk mwingine basi!Dah pole sana ila ungebadili2 wewe
yote maisha!!Uwwww kumbe wewe ukuwa umependwa! bora nusu shari kuliko shari kamili huyo hakuwa wako nahata ungekuwa nae cku zambelen angekuzngua
Mungu ndo mpangaji!Kwahiyo wamaanisha huyo uliye nae ilitokea kama ajar? Nawala hakuwa katika mipango yako?
Kwa kweliswadakta, mungu anakupa kikufaacho nawala si ukitakacho
Yaani Watu wangejua ha ha. Hasa hapo kwenye siku ya kufa. Mtu anakula bata mpaka anahakikisha hana kitu anapoingia kabulini. Lakini ndo basi tena hakuna namna[emoji12] [emoji12]Nikueleze ndugu yangu hakuna ndoto kwenye kuoa au kuolewa. Katika uumbaji Mungu kufanya fumbo katika mambo matatu: kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kifo. Huwezi kuwa na ndoto eti ni namna gani utakavyozaliwa, wapi na utazaliwa na nani. Pia huwezi kuwa na ndoto eti utamuoa nani, utaolea wapi na uta oa kivipi au utaolewa na nani na wapi halikadhalika kifo. Hivi vitu jua kwamba vipo katika maisha lakini you can't create a vision and mission about it ever because all are unpredictable and you can't measure . Unaweza ukawa na vision namna nyumba unayoitaka, gari, au kuwa Kiongozi au Rais.