Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 743
- 1,859
- Thread starter
- #41
Kumbe !! Unataka watu wote tufanane ??Ukiona unapata muda wa kupost au kuview status za watu whatsapp jua unafatilia sana maisha ya watu kuliko mambo yako binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe !! Unataka watu wote tufanane ??Ukiona unapata muda wa kupost au kuview status za watu whatsapp jua unafatilia sana maisha ya watu kuliko mambo yako binafsi.
Yaaah sure...i use WhatsApp status to read people's mind.
ni rahisi sana kutambua saikolojia ya mtu through whatsapp status.
ukiona status ya mtu anaweka mahubiri ya kidini au vipande vya video vya worship songs, tambua yupo kwenye wakati mgumu, anatafuta faraja.
ukiona status ya demu naweka sana mipasho ya inayohusu mahusiano, tambua kwamba yupo kwenye mgogoro wa kimapenzi na bwanake.
i use WhatsApp status to read people's mind.
ni rahisi sana kutambua saikolojia ya mtu through whatsapp status.
ukiona status ya mtu anaweka mahubiri ya kidini au vipande vya video vya worship songs, tambua yupo kwenye wakati mgumu sana, anatafuta faraja.
ukiona status ya demu anaweka sana mipasho inayohusu mahusiano, tambua kwamba yupo kwenye mgogoro wa kimapenzi na bwanake.
halafu tupo akina sisi ambao sio rahisi kutusoma, daily tunapost status za vibonzo na michezo hususani mpira wa miguu.
Nimeamuwa kutumia fasihi nisiumize hisia za watuMbona umeedit 😀😀
Na wale wa "mama I made it" asa c amwambie privateKitu cha kijinga zaidi ni pale unapochati na mtu inbox halafu baadae unatuwekea sisi status eti ooh fulani umejua kunifurahisha
Kwani ulijuwaje kuwa ni papa lake..!? Au aliandika kwamba ni lake..!?Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Una uhakika gani ilikuwa ya kwake?Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Kuna jamaa ni rafiki wa rafiki yangu, lile jamaa huwa linaweka porn kila siku kama sisi tunavoweka music. Nilivooneshwa nilishindwa kucheka au kushangaaSasa kuna jamaa alipost porn status na masela wanaview tu hawamstui
Mpk alikuja kuambiwa na dem wake
Kwanini ?? Inawezakana kuna utakaowapandisha thamani kupitia statusKuna watu kupitia status zao nawashusha thamani kabisa
😂 😂 😂 😂Tangu january sijawah badilisha dp wala post kitu status.