JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Ushawahi kujiuliza hizi tambuzi huwa unazitumia wapi?i use whatsapp status to read people's mind.
ni rahisi sana kutambua saikolojia ya mtu through whatsapp status.
ukiona status ya mtu anaweka mahubiri ya kidini au vipande vya video vya worship songs, tambua yupo kwenye wakati mgumu sana, anatafuta faraja.
ukiona status ya demu anaweka sana mipasho inayohusu mahusiano, tambua kwamba yupo kwenye mgogoro wa kimapenzi na bwanake.
halafu tupo akina sisi ambao sio rahisi kutusoma, daily tunapost status za vibonzo na michezo hususani mpira wa miguu.
Kuhusu ww kusomeka ni kwa sababu unaamini unachofanya na wengine wanafanya ila unaweza kuta watu wanaview status wakiwa idle tu kupoteza mda and there is nothing about you kwenye akili zao yaani.