Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,454
🤣🤣🤣🤣🤣Hakusema chochote,aliniacha najiuliza maswali bila majibu
Hii nzuri sana.
🤣🤣🤣🤣🤣Hakusema chochote,aliniacha najiuliza maswali bila majibu
Kuna zile hamuachani mnapotezeana tu. Siku mkikutana mnajifanya kama vile hamkuwahi kuachana. Mnaendeleza mlipoishia.Mi hata sikumbuki kuachwaga 🤣 najienguaga tu nikichoka.
Hahahahahah umetumia ustaarabu sanaKuna zile hamuachani mnapotezeana tu. Siku mkikutana mnajifanya kama vile hamkuwahi kuachana. Mnaendeleza mlipoishia.
Kuna bi dada mmoja tulikuwa hivyo. Tunachuniana tu halafu siku tukikutana au mmoja kummiss mwenzie basi tunaanzia pale tulipoishia. Tukikinaina kila mtu anashika hamsini zake.
Nilijiengua mazima baada ya kuolewa maana huwa sijisikii vizuri kumgongea mtu mke wake. Japo alijaribu mara kadhaa kuanzisha tulipoishia ila safari niliweka munda.
Kuna mtu namfahamu aliachwa kwa sababu hiyo🤣🤣Kuachwa ni kupunguza mzigo tu imagine unaachwa kisa upole Yani huongei sana
Kuna zile hamuachani mnapotezeana tu. Siku mkikutana mnajifanya kama vile hamkuwahi kuachana. Mnaendeleza mlipoishia.
Kuna bi dada mmoja tulikuwa hivyo. Tunachuniana tu halafu siku tukikutana au mmoja kummiss mwenzie basi tunaanzia pale tulipoishia. Tukikinaina kila mtu anashika hamsini zake.
Nilijiengua mazima baada ya demu kuolewa maana huwa sijisikii vizuri kumgongea mtu mke wake. Japo alijaribu mara kadhaa kuanzisha tulipoishia ila safari niliweka munda.
Pole yake labd alikua mkimya San Kuna mtu ata ukianzisha maongez Hana habari,ukimzingua yey poa tu,mke akimshika tako yey poa tu aah apo lazma demu akukatae😅😅Kuna mtu namfahamu aliachwa kwa sababu hiyo🤣🤣
Na ni mpole kweli huyo kaka, hadi nilimuonea huruma alivyonisimulia
Ni kweli ila ni bora mtu afunguke tu ukweli hata kama unaumiza kuliko kukaa kimya
Maana unakua unatengeneza mawazo mengi kichwani bila jibu la msingi.
Yes, ni mtu wa aina hiyo. Kwanza hajui kukasirika ila pia sio muongeaji so binti akawa analalamika jamaa 'hajachangamka'😂Pole yake labd alikua mkimya San Kuna mtu ata ukianzisha maongez Hana habari,ukimzingua yey poa tu,mke akimshika tako yey poa tu aah apo lazma demu akukatae😅😅
Na huyo binti ni weweYes, ni mtu wa aina hiyo. Kwanza hajui kukasirika ila pia sio muongeaji so binti akawa analalamika jamaa 'hajachangamka'😂
Maana hata wakiwa private ni hadi binti aanzishe ndio jamaa anarespond, jamaa hawezi anzisha. sa sijui anaona aibu au vipi.
Binti kavumilia ila badae akayabwaga manyanga.
Sio mimi 🤣🤣Na huyo binti ni wewe
😅😅Kwahy bibie alikua wale wa charming kwa sanaNa huyo binti ni wewe
🤣🤣 Sio mimi bana, usimsikilize huyo kiumbe😅😅Kwahy bibie alikua wale wa charming kwa sana
Sasa si angempa mda tu amvumilie outing nn na washikaji angeanz kuchangamka😅Yes, ni mtu wa aina hiyo. Kwanza hajui kukasirika ila pia sio muongeaji so binti akawa analalamika jamaa 'hajachangamka'😂
Maana hata wakiwa private ni hadi binti aanzishe ndio jamaa anarespond, jamaa hawezi anzisha. sa sijui anaona aibu au vipi.
Binti kavumilia ila badae akayabwaga manyanga.
😅😅😅Unakut boy ana kila kitu ila shida ni kua hajui mapenz ni utoto lazma ujitoe akili🤣🤣 Sio mimi bana, usimsikilize huyo kiumbe
Ndio hivyo haikupangwa wawe pamojaSasa si angempa mda tu amvumilie outing nn na washikaji angeanz kuchangamka😅
Ila raha ya mahusiano mwanaume awe ndio kiongozi kwenye almost kila kitu😅😅😅Unakut boy ana kila kitu ila shida ni kua hajui mapenz ni utoto lazma ujitoe akili
Ila Kuna wanawake Wana kelele + vurugu mpk unajuta kumuita gheto😅😅Ndio hivyo haikupangwa wawe pamoja