Ulitafutiwa makosa gani ndio ukaachwa?

Ulitafutiwa makosa gani ndio ukaachwa?

Niliambiwa hivi.

Mi saiv sipo kweny mahusiano na mtu yeyote mpk mamb yangu yakae sawa ndo maan unaon nipo mbali
 
Niliambiwa mm bahili.
Wakati mm niliweka malengo yangu kwanza.
 
Kuna sababu zingine zinachekeshaga sana. [emoji28][emoji28][emoji28]

Hivi mapenzi na chenyewe ni kitu kinahitaji mapumziko kweli? Kwan sisi ni wazungu? Siunichane tu kama umepata d*ck nyingine?

Popote alipo, atafunzwa na Dunia [emoji28][emoji28]
Ungempa energy drink, apate nguvu muendelee.
 
Niliambiwa nilikuwa nakuheshimu kama Kaka na kuambiwa maneno mengi ya kujiona nimefanya makosa kumtongoza nikaamua kumuacha lakini baada ya wiki nikamkuta analiwa mate.
 
Niliambiwa kuwa nilikuwa namsubiri mtoto afikishe miaka miwili maana ningekuacha before ingemwathiri mtoto Ila sababu mtoto kafikisha 2yrs nakuacha,nililia kama kichaa
Pole jamani.
Unaendeleaje sasa ? Umeshamsahau?
 
Nyie ndio wale mnakuwa kwenye mahusiano kama hampo vile. Yan kuna aina ya mtu una date naye ila kama haudate naye .
Hahahah hio inaitwa Special Romantic Operation 😀😀😀 (SRO) ni penzi la kijasusi!!!
 
Back
Top Bottom