Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,389
HapanaHivi we ni Sakayo? samahani lakini kama nimekukwaza kukuuliza Mama.
HapanaHivi we ni Sakayo? samahani lakini kama nimekukwaza kukuuliza Mama.
Kuna wanajukwaa walinishauri kuwa yawezekana ni 'gusa unase' yaani nisije nikaonja halafu nikanogewa.Naunga mkono hoja,,,,7yrs !!!
Amechukua point of weakness ya wewe kumpenda, sasa anaona huwezi pindua,
Piga alafu mwache solemba...akikutana na mabaharia kama sisi na ndogo analiwa alafu tunapotezea, jino kwa jino...Torati izingatiwe...
Asante kwa ushauriJua limetuwama anatafuta pa Kupambazukia...temana nae.
Asante sanaACHANA NAE,
ulimtaka hakukutaka, anakutaka kwa muda anaotak yy wewe unamtaka.
ukikubali aingie katika maisha yako she wins, you lose.
hakuna pride yoyote kulala na women wasiostahili.
dont lose your dignity man, wewe sio rebound samaki wapo wengi baharin
Demu si atakuwa anakaa kwao lazima! Hivyo sioni kama jamaa kakosea sababu hata akimpiga mkojo demu lazma arudi kwao by the end of the day!Mimi nafikiri tangu mwanzo alipaswa kumdanganya mahali pa kuishi alivyomwambia amepanga naona kama kakosea ilipaswa angemwambia anakaa kwa braza hili kukutana iwe gesti mana mademu kama hawa umri ushakuwa shikamoo jazi anatafuta pa kufia apate ndoa, sasa uyu mjomba inabidi amkatae kibishi tu amkazie kuwa nilikuwa nakudanganya sina geto nakaa kwa braza hili akamtindue gesti hili awe anamsoma mdo mdo na akifanya kinyume na hivi walai ataleta uzi mwingine hapa wa majanga
Huko kwenye five na six ndio huwa tuna mapenzi ya kweli,Prisca alikuwa hampendi mshkaji hata kwa mbali,kwa Sasa Prisca kapoteza dira anataka Pete so Bora apate hata ya mtu asiyempenda..karukaruka huko ndio aje ampe mshikaji makapi aendelee tu na safariWengi wamekushauri eiza uanchane nae au uchape usepe. Mimi nitakushauri tofauti kidogo. Hebu kwa sasa mtazame Prisca kama mtu aliyepevuka na anaejitambua. Unakosea kumlaumu mtu wa form 5 kukukataa kimapenzi!!! Huyo alikuwa mtoto jomba. Kweli wewe ulivyokuwa form 5 kiakili ndio ulivypo sasa? Na inaonekana bado unampenda Prisca, acha ligi zisizo na future, kwa sasa wote mmeshapevuka tuliza mpira. Mpe nafasi wala usichukulie maubishani ya form 5. Mpe nafasi, pimeni afya jenga familia kijana. Kweli ulinganishe maisha ya kwenda bichi komba na monita ndio yakunyime future na umpendae?
Kabisa yani mimi tageti yangu kuwa demu hata kama anakaa kwao kupajua kwa jamaa naona kunaweza kukaleta usumbufu maana uwezi jua demu anaweza akapigwa mkojo akadata mwisho wa siku ikamletea shida jamaaDemu si atakuwa anakaa kwao lazima! Hivyo sioni kama jamaa kakosea sababu hata akimpiga mkojo demu lazma arudi kwao by the end of the day!
Akileta wenge si anafukuzwa tuKabisa yani mimi tageti yangu kuwa demu hata kama anakaa kwao kupajua kwa jamaa naona kunaweza kukaleta usumbufu maana uwezi jua demu anaweza akapigwa mkojo akadata mwisho wa siku ikamletea shida jamaa
Ningekuwa mimi ningekuwa nakula mzigo sana tu naakikisha anakuwa skepa mara dufu alafu namkataa, nakumbuka juzi nilikuwa kwenye event fulani hivi kuna demu kipindi nipo chuo alikuwa ananata sana, juzi nimekutana nae anatia huruma hajaolewa sasa kwenye stori za hapa na pale nikamuuliza vp ushaolewa akajibu bado nikamuuliza mbona umechelewa alishtuka sana ikabidi nimpooze na tumemaliza chuo 2013, nyie wadada badilikeni alafu acheni dhalau mtakuja kuolewa mkiwa vikongwe msipo kuwa na adabuHuko kwenye five na six ndio huwa tuna mapenzi ya kweli,Prisca alikuwa hampendi mshkaji hata kwa mbali,kwa Sasa Prisca kapoteza dira anataka Pete so Bora apate hata ya mtu asiyempenda..karukaruka huko ndio aje ampe mshikaji makapi aendelee tu na safari
Nadhani thread ndio imeishia hapaHuyo umri wa kuolewa umeshafika na mbele anaona giza 🤪🤪
Changamoto yangu kaka ni Je, tutaishi kwa upendo maana sijui kama kweli kaja kunikubali kwa moyo mkunjufu au la !!!
Huwa tunakuwa tuna watu tunaowapenda na matarajio nao kumbe ni mabazazi...matokeo tukishatendwa tunaanza kuangalia angali option B😁😁Ningekuwa mimi ningekuwa nakula mzigo sana tu naakikisha anakuwa skepa mara dufu alafu namkataa, nakumbuka juzi nilikuwa kwenye event fulani hivi kuna demu kipindi nipo chuo alikuwa ananata sana, juzi nimekutana nae anatia huruma hajaolewa sasa kwenye stori za hapa na pale nikamuuliza vp ushaolewa akajibu bado nikamuuliza mbona umechelewa alishtuka sana ikabidi nimpooze na tumemaliza chuo 2013, nyie wadada badilikeni alafu acheni dhalau mtakuja kuolewa mkiwa vikongwe msipo kuwa na adabu
Basi muwe mnajifunza msipo kuwa makini mtatinduliwa mpka muombee poo na ndio mana basi single Mama's ni wengi sana mtaaniHuwa tunakuwa tuna watu tunaowapenda na matarajio nao kumbe ni mabazazi...matokeo tukishatendwa tunaanza kuangalia angali option B![]()
Uzi ufungwe sio😅😅😅Nadhani thread ndio imeishia hapa


Ukiona ivyo bado hujampata wa kufanana nae vuta subira ila usisahau kuomba kwa mungu wako angalizo usije oa digrii, na mastazii utakuja kunishukuru badaeAisee niliwahi pata kisa kama chako, nafika tu form 5 moyo ukadondokea kwa binti mmoja wa shule ya jirani! Yeye alikuwa form 2..
Nilifanya jitihada zote nimpate, hakuonesha interest yeyote na mimi, kidume nakomaa lakini wapi (story yake naweza andika kitabu), mengi nilipitia na mengine ya aibu hata kusimulia, ningefanyeje na moyo ushapenda, miaka miwili yote mpka naondoka ule mji mambo yalikuwa bila bila ila atleast nilikuwa na namba yake!
Baada ya kuondoka kule akaja akanikubalia, nadhan ile kutaka kuniridhisha tu maana nilikuwa mbali na sina madhara, kuna kipindi nikiwa nshaanza chuo nikamfunga safari kumfuata, dah yan alinikana hadharan akadai hata kusema ananipenda huwa anajilazimisha tu, nilijibebesha mwenyewe maua na kadi, ikabidi nimpe tu, pengine aliyatupa huko mbele ya safari.
Nilipiga moyo konde, nikaamua kusonga mbele..sikupanga kumtafuta tena na yeye alijua hilo, na akabaki kimya. Miaka ikaenda nikamaliza chuo, nikawa nshaanza kazi na maisha yanaendelea.
Basi siku moja napokea simu akajitambulisha kwamba ni yeye, story zikawa nyingi kama huyo prisca wako, akauliza kama nshaoa na akadai eti ananipenda
Nikaona isiwe kesi, nikamuuliza nitaamini vipi sasa, akadai anakofanya kazi ana likizo tayari hivyo kabla hajaenda kwao atasafiri kuja kwangu atakaa wiki.
Sikuwa na kipingamizi, alisafiri na akapika na kupakua wiki nzima, kiukweli nilikuwa bado nampenda ila target yake kuu niliiona ni kuolewa maana ndan ya hiyo wiki akataka anitambulishe kwa baba ake, niliwaza sana na nilichokuja kugundua ni kwamba mambo yake hayakwenda vile alivyopanga hasa baada ya kufeli form 4,hivyo akaona mimi ndo option ya mwisho kwake.
Baada ya wiki aliondoka na ndo ukawa mwisho wa story, miaka 8 sasa imepita bado sijapata mbadala wake, bado najuta kwanini sikujenga naye maisha, hasira ziliniponza maana kuna ajabu gani mtoto wa o level kukukataa!
Mkuu fuata moyo wako, kama unampenda mchukue tu.. mimi nataman siku zirudi nyuma ila ndo hivyo haiwezekani!