Jeshi moja linalipa kinomah...kama demu wangu hayupo basi ni kuserebuka mwenyew tuHizo gambe wanakununulia wao?
Sometimes ni muhimu kujifunza kuwa jeshi la mtu mmoja.
Kabisa mzeeJeshi moja linalipa kinomah...kama demu wangu hayupo basi ni kuserebuka mwenyew tu
Sasa mkuu unachelewa nini kuhamia kwa rafiki kubwa lao TBL.😏😏😏Kuna Jambo linatokea hapa naona Kama Marafiki wananitenga jmn nifanyeje. Make sjui kosa langu mpaka kutengwa na washikaji ila nihisi ni kwa sababu nakunywa pombe sana
Namashaka na wewe aiseh..Na siachi pombe mie jmn