Ulishawahi kutengwa na marafiki?

Ulishawahi kutengwa na marafiki?

Nili chart naye Ila Alisha dhamiria, ujue kila mtu ana matatizo inategemea jinsi unavo handle
Definitely true.
We all have problems, how you handle them depends on your mental strength.
Depression ni kitu hatari sana.
 
Lakini Kuna Uzi umeanzishwa kua umomi na aliyeleta Uzi wa kifo ni mtu mmoja, eeeh licha ya hivo huyu jamaa anahitaji msaada
Kama ulivyosema, either way the guy needed some kind of help if he is alive or not.
Mimi nilisoma comments kama mbili hivi nikaona hayuko sawa kama mtafuta umaarufu au ana mawenge ya kitoto au kishule shule nikachagua kumpuuzia nikaacha kufungua thread zake kabisa, nilikuja kufungua baada ya kuona taarifa ya kifo chake.

Kama kafa kweli Mungu anisamehe huenda ningemfuatilia ningeweza kumshawishi asijidhuru.
 
Kama ulivyosema, either way the guy needed some kind of help if he is alive or not.
Mimi nilisoma comments kama mbili hivi nikaona hayuko sawa kama mtafuta umaarufu au ana mawenge ya kitoto au kishule shule nikachagua kumpuuzia nikaacha kufungua thread zake kabisa, nilikuja kufungua baada ya kuona taarifa ya kifo chake.

Kama kafa kweli Mungu anisamehe huenda ningemfuatilia ningeweza kumshawishi asijidhuru.
Mimi mwenyewe ninachoona he needs help ya anayopitia, pia yaweza kuwa ni mvuta bangi imemharibu akili maana topic zake tu na anayofanya plus pombe mhhh ni janga.
Pia siwezi kuhurumia mtu wakati ka choose mwenyewe hyo life na hataki ku change, siku akijua kila mtu ana struggle kwa changamoto nyingi na hawajiwazii mabaya, nadhani tiba yake kisaikolojia itaanza hapo.
 
Huu ulishachakachuliwa na ile thread, nimeipitia vizuri asubuhi hii nikiwa sober, inaonekana kuna ukakasi
Nimeona pia kuna mchanganyiko na nimepitia thread iliyoletwa na jamaa sivani.

Kumbe umomi na kigorohe ni maneno ya kikurya ,nilihuzunika baada ya kuona taarifa sasa hivi nipo tu sielewi .
 
Nachojua marafiki wa kweli hawawezi kukuacha kisa pombe...
 
Back
Top Bottom