Operand
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 275
- 287
Umomi,
and one thing more, keep golden people closer. Only those who lift you up when u are down.




Nilikutana nayo mahali hii wanasema dunia ni kama kioo ambacho unajiangalia ww so unachokiona kinakuakisi ww.ukiona watu wanakutenga ujue na ww kwa namna moja au nyingine unajitenga nao(either kwa matendo au kimtizamo), ukiona haupendwi jua kwa namna moja au nyingine na w hauna upendo.Kuna jambo linatokea hapa naona kama marafiki wananitenga jamani nifanyeje? Maana yake sijui kosa langu mpaka kutengwa na washikaji ila nihisi ni kwa sababu nakunywa pombe sana
Mimi Consellor your welcome PM.Kama unamjua counsellor naomba uniunganishe naye
Well said man!Nilikutana nayo mahali hii wanasema dunia ni kama kioo ambacho unajiangalia ww so unachokiona kinakuakisi ww.ukiona watu wanakutenga ujue na ww kwa namna moja au nyingine unajitenga nao(either kwa matendo au kimtizamo), ukiona haupendwi jua kwa namna moja au nyingine na w hauna upendo.
Solution ni kuwa ambavyo unataka kuchukuliwa "treat the way you want to be treated". So na ww usijitenge na watu ishi nao kawaida na kama unavyotaka wakuchukulie na watakuchukulia kama uavyotaka
Simjui kwa kweli Ila zungumza na Mungu wako sali kwa Imani ikiwezekana ufunge hata week nzima usali utapata tu njia, hichi ni kipindi Cha mapito kwako usipokuwa makini na kusimama unaweza loose direction. Counselor mzuri ni wewe na Mungu wako na Sala aisee.Kama unamjua counsellor naomba uniunganishe naye
Dada Ni ushauri mzuri lakini huyo Mungu nampata wap?Simjui kwa kweli Ila zungumza na Mungu wako sali kwa Imani ikiwezekana ufunge hata week nzima usali utapata tu njia, hichi ni kipindi Cha mapito kwako usipokuwa makini na kusimama unaweza loose direction. Counselor mzuri ni wewe na Mungu wako na Sala aisee.
Mhhhh tulia tu utafakari maana Yuko ndani yako ni ku activate positive energy, relax basiDada Ni ushauri mzuri lakini huyo Mungu nampata wap?
Mkuu jamaa kajiuwa kwa sumu.Wewe unahitaji msaada mkubwa kulingana na mada zako unazozianzisha humu, be careful zidisha Sala Sana, Mungu akusaidie kwa kipindi unachopitia
Wewe unahitaji msaada mkubwa kulingana na mada zako unazozianzisha humu, be careful zidisha Sala Sana, Mungu akusaidie kwa kipindi unachopitia
Only if he could understand this maskinii .Wewe unahitaji msaada mkubwa kulingana na mada zako unazozianzisha humu, be careful zidisha Sala Sana, Mungu akusaidie kwa kipindi unachopitia
Maskiiiini..Dada Ni ushauri mzuri lakini huyo Mungu nampata wap?
Mimi nilivomuona mada zake Tena nikamshauri azidishe Sala maana kila mtu ana mapito yake Ila tunavumilia nakuacha stress lohOnly if he could understand this maskinii .
Only if.!!..
Why am I crying though???
Rest easy Umomi, Pole that tulikupuuzia.!!
Yani niliona kitu kisicho sawa kwakeKama uliona mbali vile.
He is gone.
Nili chart naye Ila Alisha dhamiria, ujue kila mtu ana matatizo inategemea jinsi unavo handleMkuu jamaa kajiuwa kwa sumu.
Daah!, mambo mengine unaweza kudharau baadaye unaona ulipaswa kushughulikia hilo tatizo haraka tena kwa juhudi kubwa kuokoa maisha ya mtu.
Dah ulimshauri vizuri kama ulijua hatima yake.Simjui kwa kweli Ila zungumza na Mungu wako sali kwa Imani ikiwezekana ufunge hata week nzima usali utapata tu njia, hichi ni kipindi Cha mapito kwako usipokuwa makini na kusimama unaweza loose direction. Counselor mzuri ni wewe na Mungu wako na Sala aisee.