Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,377
- 2,675
Hapa ungemfungukia amutafute Yesu wapo mawakili wake kila mahali.Mhhhh tulia tu utafakari maana Yuko ndani yako ni ku activate positive energy, relax basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ungemfungukia amutafute Yesu wapo mawakili wake kila mahali.Mhhhh tulia tu utafakari maana Yuko ndani yako ni ku activate positive energy, relax basi
Yani niliona kitu kisicho sawa kwake
Alisema hata Mungu hamjuiHapa ungemfungukia amutafute Yesu wapo mawakili wake kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafanya hivoSiku ukikiona kwangu niambie mapema.
Yani wote hupitia hyo Hali ngumu kwa maisha lakini kufikia huo uamuzi Mimi bado sana
Wewe unahitaji msaada mkubwa kulingana na mada zako unazozianzisha humu, be careful zidisha Sala Sana, Mungu akusaidie kwa kipindi unachopitia
Simjui kwa kweli Ila zungumza na Mungu wako sali kwa Imani ikiwezekana ufunge hata week nzima usali utapata tu njia, hichi ni kipindi Cha mapito kwako usipokuwa makini na kusimama unaweza loose direction. Counselor mzuri ni wewe na Mungu wako na Sala aisee.
He who finds you as his wife, finds a good thing, And obtains favor from the LORD.Mhhhh tulia tu utafakari maana Yuko ndani yako ni ku activate positive energy, relax basi
Amen na asante Sana PepHe who finds you as his wife, finds a good thing, And obtains favor from the LORD.
Ubarikiwe sana Cariha.
Nitafanya hivo
Shida watu hu express Mambo yao wakiwa na maamuzi hata umweleze Jambo flani yeye kashaamua. Hafu mengine huwa ni stage ya maisha tu yakujifunza ndio maana yashauriwa kusali kwa Imani yako, kufanya meditation kwa sana au mazoezi, hii dunia bila changamoto ngumu, ukifa tu na frustrations ndio zinakomaIla hii mitandao aisee imekuwa sehemu ya watu ku express frustrations zetu, na ukimsoma mtu vizuri unaweza kuelewa anayoyapitia.
Mkuu umejuaje Kama kajiua?Mkuu jamaa kajiuwa kwa sumu.
Daah!, mambo mengine unaweza kudharau baadaye unaona ulipaswa kushughulikia hilo tatizo haraka tena kwa juhudi kubwa kuokoa maisha ya mtu.
Shida watu hu express Mambo yao wakiwa na maamuzi hata umweleze Jambo flani yeye kashaamua. Hafu mengine huwa ni stage ya maisha tu yakujifunza ndio maana yashauriwa kusali kwa Imani yako, kufanya meditation kwa sana au mazoezi, hii dunia bila changamoto ngumu, ukifa tu na frustrations ndio zinakoma
Cariha na Mimi naona marue ruwe naomba uje pm unipe neno LA farajaMimi nilivomuona mada zake Tena nikamshauri azidishe Sala maana kila mtu ana mapito yake Ila tunavumilia nakuacha stress loh
Cariha na Mimi naona marue ruwe naomba uje pm unipe neno LA faraja


wewe mtakatifu ivuga nakujaLakini Kuna Uzi umeanzishwa kua umomi na aliyeleta Uzi wa kifo ni mtu mmoja, eeeh licha ya hivo huyu jamaa anahitaji msaadaKuna muda namkumbuka Thomas Malthus na theory yake ya population.
Kwamba inabidi watu wafe ili resources zitoshe kwa wanaobaki.
Acha atangulie. Wanasema mwendo ameumaliza.
Lakini Kuna Uzi umeanzishwa kua umomi na aliyeleta Uzi wa kifo ni mtu mmoja, eeeh licha ya hivo huyu jamaa anahitaji msaada
wewe mtakatifu ivuga nakuja