Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Mtani nisaidie Mbona uzi wa kifo cha huyu member umefutwa tena?Kiukweli huu msiba wa JF sina sympathy nao.
Nacheki tu hapa utaisha vipi.
Mana nilikuwa naupitia saa hii naona haupo tena kulikoni?
