Hahaa,we ni msukuma? Yaani yule msukuma jambo dogo tu anakasirika kwa kiwango cha juu mnoo...na hawezi kujizuia..na ni mdada alikuwa na kazi nzuri tu serikalini ila weakness zake ni hizo kuwa na short temper.Duhh pole sana! Mbona kama ni mimi๐
Nakutania bana, nikiwa na stress zangu huwa napenda nideal nazo mwenyew ili nisikere watu! Mara nyingi sitoki ndani kwangu! Au nitakuwa kimya tu kama leo sijaongea na mtu tangu asubuhi๐ฅฒ
Kwahiyo ndiomaana napenda tu kukaa mwenyewe๐ฅน
๐คฃNiende nikapate tiba wapi?
Najitahidi sana! Zamani nilikuwa nakunywa dawa nife ila sifi๐ siku nilimeza flagyl na beer lkn wapi! Siku moja nikazitapika zote! Ni miaka mingi imepita naona naanza kukomaa saiz nimebaki kujifungia tu ndani! Sina watu wa kuongea nao zaidi nisome nyuzi za humu nichoke nihamie tiktok au insta nimalize nilale๐ซShem Seran pole sana aisee.
Ni dalili za Depression.
Inabid ujitahidi kuicontrol.
Kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako au ambacho kwa muda huo huwez kukibadili kisikupe stress kubwa hizo. Maana hata ukizipata Haziwez kukiondoa. Sanasana kitakudhuru ww.
Kuwa na mawazo ni sawa. Ila yasizidi. Ukashindwa kufanya mambo mengne ya msingi.
Kabla ya kwenda therapy na kutumia dawa.
Hebu jaribu kupambana nayo mwenyewe. kwa kujifanyisha ubusy. Kuongea na sim nying za ndugu jamaa marafiki.
Mm sijawah kufikia hiyo state.
Ingawa disappointment . Masononeko na maswaiba mengne yananipata kama binadamu. Ila nimechagua upande.
Wa kuwa Kama siwez kukicontrol kitu. Siwez jipa stress nacho.
Ntawaza napambanacho aje. Kama naona sitoboi. Na acha fate ichukue mkondo wake. I cant change it anyway. Why nisononeke kupitiliza?.
Mimi sukuma na nna hasira๐ japo naweza kuzicontrol kama sio jambo la kutisha nabaki tu nmekasirika siongei!Hahaa,we ni msukuma? Yaani yule msukuma jambo dogo tu anakasirika kwa kiwango cha juu mnoo...na hawezi kujizuia..na ni mdada alikuwa na kazi nzuri tu serikalini ila weakness zake ni hizo kuwa na short temper.
Nikiwa na Stress nachukua baiskeli huyooo mdogo mdogo nazurura mpaka narudi home Niko sawaMie nikiwa stressed ndio napenda kujichanganya zaidi na watu, niende kuogelea, nikacheze mpira na washikaji, nisikilize muziki..
Nikikaa pekee yangu na kufikiria sana, huwa sichelewi kufanya jambo ambalo linaweza nigharimu
Hii ni mbaya zaidi suicidal thought huwa zina tabia ya kujirudia pale hali inapokuwa mbaya tena, nenda kwa watu wa saikolojia mapemanakunywa dawa nife ila sifi๐ siku nilimeza flagyl na beer lkn wapi! Siku moja nikazitapika zote! Ni miaka mingi imepita naona naanza kukomaa saiz
Najitahidi sana! Zamani nilikuwa nakunywa dawa nife ila sifi๐ siku nilimeza flagyl na beer lkn wapi! Siku moja nikazitapika zote! Ni miaka mingi imepita naona naanza kukomaa saiz nimebaki kujifungia tu ndani! Sina watu wa kuongea nao zaidi nisome nyuzi za humu nichoke nihamie tiktok au insta nimalize nilale๐ซ
Acha tu shem sio poa๐ฅฒ
Nina mke hapa ujue๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐Mshana na seran โค๏ธโ๐ฉนโค๏ธโ๐ฉนโค๏ธโ๐ฉน๐
Nina mke hapa ujue๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐
Tumbi watakutibu vyema kabisaNiende nikapate tiba wapi?
Anaitwa ?๐ณ๐ณNina mke hapa ujue๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐
My eveloved, ever cared! Ever adored! Mama la mama mrembo Angel Nylon ๐๐๐Anaitwa ?๐ณ๐ณ
Dah ... Unakula mema ya nchi kaka๐ค๐ค๐๐คฉMy eveloved, ever cared! Ever adored! Mama la mama mrembo Angel Nylon ๐๐๐