Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 358
- 780
- Thread starter
- #301
Wanaume makini huwa haturudi nyuma kabisaKabisaa, mimi kuna vitu mtu akifanya sirud nyuma hata awe nani
Wanaume makini huwa haturudi nyuma kabisaKabisaa, mimi kuna vitu mtu akifanya sirud nyuma hata awe nani
Hawa wanawake sio wa kuwaamini kabisaDuh mbona hatari pole sana mkuu.
Tuishi nao kwa akili mkuuHawa wanawake sio wa kuwaamini kabisa
Alikutwanga mangumi au ilikuwaje akakulaza hospital?Mimi nimeshalazwa hospitali
KabisaTuishi nao kwa akili mkuu
Nilimkaza sana usiku uliopita wa kabla ya kulazwa mpaka nguvu zikaishiAlikutwanga mangumi au ilikuwaje akakulaza hospital?
Ni sahihi mpaka siku atayokuambia we ni malaya na mchafu kama mama yako. Sio watu wanatembeza vitasa kwa kupenda inatokea tu.Sio poa kumpiga mkeo, hamna kisichozungumzika, utajikuta unapiga kila mwanamke usiyeendana naye.
Ni tatizo la lishe duni ndilo lilikusababishia hayo, acha kusingizia mke.Nilimkaza sana usiku uliopita wa kabla ya kulazwa mpaka nguvu zikaishi
Kijana unanikosea adabu na ukwasi wote niliokuwa nao lishe duni inatoka wapi?Ni tatizo la lishe duni ndilo lilikusababishia hayo, acha kusingizia mke.
Kaka wanawake unawasoma tu au umewahi kuishi nao? Yaani serious atake pesa halafu wewe umpe maelezo? Oyaa!Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Sasa inakuwaje uzidiwe nguvu na mwanamke?Kijana unanikosea adabu na ukwasi wote niliokuwa nao lishe duni inatoka wapi?
Tumbo halihitaji mipangilio linahitaji kujazwa hizo ni mbwembwe tu za binadamuSasa inakuwaje uzidiwe nguvu na mwanamke?
Hiyo ni sababu ya lishe duni tu, hata kama una ukwasa hujui kupangilia milo
Yaliishaje sasaMimi mke wangu alichukua 3M ya biashara akamkopesha shoga yake anaedaiwa kwenye mikopo nyonya damu wakati shoga yake hana kazi yoyote itakayo msaidia kulipa hilo deni.
Ikabidi niende polisi mwenyewe nikawaambia polisi waniweke ndani maana nikibaki nje ntamuua wife.
Pumba tupuUliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Hayajakukuta wewe! Kuna wanawake ni pasua kichwa sana hata hao unawaona wako muda mrefu kwenye ndoa ni uvumilivu na kujifanya bwege ndiko kunakodumisha hizo ndoa la sivyo ndio hizo kesi unazosikia mara mtu kauliwa na mumewe mara talaka Kila kukicha.Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Ndiyo maana ndiyo ipo kwa walio na akili.Kama mtu hana akili,atabubujikwa na machozi muda wote.Hayajakukuta wewe! Kuna wanawake ni pasua kichwa sana hata hao unawaona wako muda mrefu kwenye ndoa ni uvumilivu na kujifanya bwege ndiko kunakodumisha hizo ndoa la sivyo ndio hizo kesi unazosikia mara mtu kauliwa na mumewe mara talaka Kila kukicha.
Kilo moja anakula kuku kwa siku nne.Pumba tupu
Nimeishi naye miaka ishirini na mbili sasa.Wewe huwa unakuwa na hela siku zote?Tena zaidi ya milioni moja?Kushindwa kujieleza ni kujipangia kukwama muda wote.Na wengi mnajionesha humu hata kwa uandishi na mitazamo.Nani alikuambia kipigo ni suluhu ya pesa?Kaka wanawake unawasoma tu au umewahi kuishi nao? Yaani serious atake pesa halafu wewe umpe maelezo? Oyaa!