Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Kaka wanawake unawasoma tu au umewahi kuishi nao? Yaani serious atake pesa halafu wewe umpe maelezo? Oyaa!
 
Mimi nilikwisha sema siku akiniweka ndani biashara huenda ikawa imeishia hapo, kama tumeshindwa kuelewana nyumbani hata huko haitawezekana.
 
Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Pumba tupu
 
Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Hayajakukuta wewe! Kuna wanawake ni pasua kichwa sana hata hao unawaona wako muda mrefu kwenye ndoa ni uvumilivu na kujifanya bwege ndiko kunakodumisha hizo ndoa la sivyo ndio hizo kesi unazosikia mara mtu kauliwa na mumewe mara talaka Kila kukicha.
 
Hayajakukuta wewe! Kuna wanawake ni pasua kichwa sana hata hao unawaona wako muda mrefu kwenye ndoa ni uvumilivu na kujifanya bwege ndiko kunakodumisha hizo ndoa la sivyo ndio hizo kesi unazosikia mara mtu kauliwa na mumewe mara talaka Kila kukicha.
Ndiyo maana ndiyo ipo kwa walio na akili.Kama mtu hana akili,atabubujikwa na machozi muda wote.
 
Kaka wanawake unawasoma tu au umewahi kuishi nao? Yaani serious atake pesa halafu wewe umpe maelezo? Oyaa!
Nimeishi naye miaka ishirini na mbili sasa.Wewe huwa unakuwa na hela siku zote?Tena zaidi ya milioni moja?Kushindwa kujieleza ni kujipangia kukwama muda wote.Na wengi mnajionesha humu hata kwa uandishi na mitazamo.Nani alikuambia kipigo ni suluhu ya pesa?
 
Back
Top Bottom