Yaani ke ukiwa juu yake wanalainika na wanalika bila hata ya kuhonga . Mfano ronado anakula demu yeyote na ni bure kwanza wapo wanaomtongza. Mie nawaonaga humu eti toa pesa Mara wenye kisu kikali acha wale nyama mademu wanahalalisha umalay aka kujiuza,na wasio na kitu ndio wanahangaika kuhonga. Yaaani demu akishaingia Kuna air fresher nzuri kwenye gari na ka ac analewa yaani anatowa bila hata kipingamizi. Yaani ke huwa Hana sauti kwa man Aliye successful.kwanza anajigamba kutembea na mtu wa maana
We acha tu mkuu, nakumbuka kuna jamaa yangu aliwahi kuniambia kuwa mwanamke hata akikuona umebeba engine ya gari kichwani ni lazima akufate nyuma.
 
WAKUBWA HABARI ZENU
WENGI WENU (80%) MNAFANYA KAZ NA MKO NA NAFASI KUBWA TU KWENYE TAASISI ZENU

NAOMBENI MSAADA WA KAZI AU CONNECTION
MDOGO WENU HALI ISHAKUWA TETE

Nilisomaga. BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION

Naombeni msaada wakuu, Pls pls
Mkuu tembelea hizi open school utapata kazi tu
 
Operesheni Ivanka....

Hodi kwenye huu uzi wa kimasihara, leo na mimi naomba kutoa mchango wangu kwenye uzi huu kwani nimekuwa msomaji sana wa uzi huu miaka mingi sasa na sitatenda haki kama sitoweka hapa kisa hata kimoja cha tunda kimasihara.

Awali kabla sijaanza kuandika niseme sijawahi kutongoza mwanamke, mara nyingi wanawake ninaokula huwa wanakuwa tayari wenyewe ni wachache sana ambao nilijikuta naanza kuwaomba mapenzi mimi ila wengi walinichokoza wao.

Andiko hili litakuwa na CODE za maeneo na vitu vingine ambavyo vinaweza kubainika kwa uwazi, hivyo nitajaribu kuweka code kwenye maeneo hatarishi kwa sababu naamini huyo mwenzangu niliyemla kimasihara anapenda sana mitandao licha ya kuwa hayupo hapa nchini.

"Tusamehewe kwa tamaa zetu za kimwili"

Ni jioni moja nipo kwenye gari natoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine baada ya kupewa mwaliko wa birthday, huwa sina kasumba ya kuhudhuria sherehe hizi na wala siabudu sherehe aina yoyote. Mwaliko wa kwenda kwenye birthday niliupata kutoka kwa mpenzi wangu Nancy.

"Brighton naomba kaniwakilishe kwenye sherehe ya rafiki yangu Ivanka, mimi kwa sasa siwezi kwenda kwa hali yangu hii" yalikuwa ni maneno ambayo yalikuwa yanasikika kutoka kwenye simu ya Nancy (mpenzi wangu) Hata yeye anajua wazi mimi siyo mtu wa kujichanganya na sipendi kuwa katikati ya kundi kubwa la watu bila sababu yoyote ya msingi na nzito.

Nilitafakari sana na kuamua kwenda mkoa jirani na pale tulipokuwa tunakaa, ilikuwa ni wastani wa kilomita 90 kutoka nilipo hadi kwenye sherehe hiyo (birthday ya Ivanka)

Ivanka nilikutana naye mara mbili kama sikosei ila mara zote hatukuwahi kuingia kwenye maongezi ambayo yangetuweka karibu zaidi, nilikuwa nasalimiana naye pale ambapo Nancy anawasiliana naye kwa njia ya simu.

Majira ya saa 9 alasiri nafika na kupiga simu kwa mwenyeji wangu kuwa nimefika na akanipa maelekezo njia ipi nipite hadi nyumbani. Baada ya muda mfupi nikawa nimefika kwao Ivanka ambaye alikuwa anakaa na Baba yake na Bibi yake mzaa Baba. Ivanka alifurahi sana kufika pale siku ile nami nikafurahi mno kuwepo pale, story na baba yake Ivanka zikanichukua na ghafla ni jioni na maandalizi ya sherehe yakaanza. Sherehe hii ilikuwa inaenda kufanyika kwenye ukumbi mmoja jirani na kwao Ivanka.

Basi baada ya muda nikaitwa ndani na kupewa chakula cha nguvu kisha nikaambiwa nijiandae tunaondoka muda si mrefu, japo sipendi kutoka usiku ila nilijikokota hivyohivyo na tukapanda gari na kuelekea ukumbini. Tumefika nikakutanishwa na waalikwa wengine na wengi wao walikuwa ni wanafunzi wa vyuo.

Sherehe ikaanza Ivanka alipendeza jamani, mpaka uone namsifia ujue alipendeza huwa sina kasumba ya kusifia kila aliyevaa nguo kuwa kapendeza. Kifupi huyu ni mwanamke mrefu, rangi ya kung'aa siyo mweusi wala mweupe, ana umbo jembamba ila lenye kupendekeza machoni kwa kila mwanaume mwenye uwezo wa kupenda.

Ivanka naomba ulaumu gauni lako ulilovaa ile siku kuwa ndilo lilikuponza, mimi siyo wa kuachiwa mapaja nje na kuoneshwa nusu ya matiti (kifua) yaliyosimama na kujaa vyema.

Ndugu wasomaji, Ivanka wakati anafanya sherehe hii alikuwa tayari kachumbiwa na jamaa mmoja kutoka Sweden na alikuwa na pete ya uchumba, hisia zangu zikaanza kusafiri hadi zikafika Sweden nikajiuliza kwahiyo Ivanka akaenda kukazwa Sweden na mzungu? Wanabeba vivutio vya taifa na kupeleka kwao huku wakiacha Taifa likibaki na wakina Chiku, Mwajuma na Mamu!

Sherehe ikaisha na tukapanda gari kurudi nyumbani, wakati tupo kwenye gari nikaendelea kuwa karibu na raia huyu mtarajiwa wa Sweden, tulikaa karibu yeye akiwa tayari kalewa, tumefika nyumbani anajifunga kanga na kuja chumba ambacho nilipaswa kulala na kuanza kunitandikia. "Brighton hiki ni chumba cha ndugu yangu, siyo mtu wa kujali kuhusu usafi naomba ulale na nisamehe kama hujapenda"

Sikuchukulia kama ni suala kubwa sana kwangu maana mimi naweza kulala popote hata juu ya moto ili mradi ufunikwe tu vizuri na shuka. Basi nikalala na asubuhi ikafika, hatimaye mchana na jioni nikarudi kwenye makazi yangu.

Baada ya mwezi nikawa naendelea kuwasiliana naye na nilijisikia furaha sana kukutana na mwanamke ambaye unaweza kuchat naye na usiboreke (kama wewe ni mwanamke wa hivyo basi mimi ni shabiki wako)

Siku moja jioni nikamuuliza unafanya nini? Akanijibu nipo tu shemeji yangu sina chochote nachofanya zaidi ya kuimba na kucheza muziki. Nikapigilia msumari wa inchi 5 kwenye kucheza muziki, nikamuuliza kumbe unajua kucheza na muziki na mbona ile siku hukucheza ama ulikuwa unaogopa watu? Akasema anapenda kucheza ila si mazingira yote anaweza kucheza muziki. Mwanaume nikatumia mbinu za kivita kama ambazo natumia kule Ukraine (angalia avatar) nikaomba kutumiwa kipande kidogo cha video chenye kuonesha akicheza muziki.

Kweli baada ya maridhiano ya amani video ikatumwa na nikaona kwa macho yangu kiuno kikikatwa kwa ustadi mkubwa sana (alikuwa amevaa taiti na kitop) nilipata nafasi ya kuona kitovu na herufi V iliyobanwa vyema zaidi na ile taiti. V ni nzuri acheni tu itumike huko Ukraine kwenye operesheni ya Urusi ila V ni nzuri sana.

Video ile ilikuwa na masharti kuwa isionekane popote kwani Nancy ni rafiki yake wa damu na nisije nikaacha kwenye simu bila kuifuta. Nilivyomaliza kuitazama nikaipeleka kwenye makumbusho yangu (email) hiyo email imetunza siri nyingi na nzito zaidi ya nyaraka za uhuru na muungano zilizopo pale Magogoni.

Baadae nilijikuta nami namtumia kombora langu la hypersonic lililokuwa limesimama wima tayari kwa oparesheni yoyote ile. Kombora hili lisilozuilika kwa namna yoyote lilienda kuharibu mfumo wake mzima wa kiulinzi na akaomba tukutane ili kumaliza huu mzozo kabla hajapata hasara kwenye miundombinu yake ambayo ilikuwa inapelekwa Sweden muda si mrefu.

Basi tukaendelea kuwasiliana kwa ahadi kuwa siku moja tutaonana. Siku moja Nancy ananiambia anataka kwenda kumsalimia Ivanka na kama naweza twende wote kwake. Kutokana na uchokozi wa wanajeshi wake kwangu nikaona lazima niende kwa Ivanka nikiwa na Nancy na tutajua huko huko mbele ya safari nini kifanyike.

Ivanka amemchokoza Putin na sasa Putin anaenda kumpiga kwake (Kiev) mbele ya Nato (Nancy) na washirika wake wa karibu.

Usikose sehemu ya pili ya Operesheni Ivanka.
.................... Itaendeleza...................
Hivi umeelewa kichwa cha habari kinasemaje kuhusu huu uzi?,
 
Ni Jana tuu npo kweny basi natok mby kuchkua chet, Mara nikawa naikagua kagua blog yangu brieflyhow.com
Bas kweny sit nlbahtik kukaa na kadem kamoj kakawaid sikakawa kanazoom screen yang bas nkajiongza nkaend kweny about page Kule Kuna pich yang sikakaion kakaniulz Kwan iyo blog Ni yako nikajib ndyo bi yang katk style Fulani ya kutokujal Mara kakanip hongra kakiwa Kama kananikubal ivi . Bas story zikaanzia mara stor 2 3 nkaingizia utan wa hap n pale ..... Nkagndua Kama kapo kweny bajet halaf gar infik usiku bas mzee njakaalik guest japo nlkuwa nmfika nkalpia chmb na kukdangny kuwa na mm sijfik bado ebwana ee usiku Sasa kiulain kakanip vuwil na asubuh nkapig kimoj kakaondk nkakaongzea na ya kula njian.
Uandishi wa ovyo kabisa
 
JINSI NILIVYOMLA MTOTO WA NJE WA BABA KIMASIHARA

Haikuwa rahisi mama kumuelewa baba kuwa ana mtoto nje ya ndoa na mwanae ni mkubwa wa miaka 17, nilipishana nae miaka mitatu tu, yeye ni mdogo kwangu!

Baada ya masuluhishano na maelewano ya kiukoo na kifamilia yaliyofanyika kwa wiki takribani mbili, ndipo binti Betina akaafikiwa rasmi kuishi nyumbani kwetu!

Binti alikuwa ni mrembo, sana sana rangi yake na macho yake angavu na meupe pee kama seruji! Sikuwa na hisia nae hata kidogo kwa kuwa nilifahamu fika kuwa tumetoka kwenye mkuyenge mmoja!

Siku moja, siku ya jumapili tulibaki wenyewe ndani! Betina akapika tukala, mida ya saa tisa mchana, akawa anaenda kuoga, nikamtania,"twende tukaoge wote Beti?" Akanambia "We! Koma" Kwa aibu nikaendelea kucheki zangu miziki!

Alivyoingia chumbani kubadili nguo akawa akivaa hii anatoka kunionesha kama imempendeza au laa! Mi nikawa namkatalia kila mara, anarudi kubadili tena! Mwisho, akavaa kigauni transparent hivi, kinafika magotini ila kwa nyuma kirefu! Chepesi hivi! Akanambia,"Naomba unifunge zipu mgongoni, akawa kakaa kwenye mkono wa sofa! Nikawa namfunga ila zipu inagoma, mwishoni nikamshika ubavu ili nikifunga, ile zipu isipande juu! Nikaskia "Aiiiishhh, utakuja kuniua mjinga wewe! Niache ntajifunga mwenyewe". Akawa anang'ang'ana kujifunga lakini wapi!

Akaamua kwenda kuibadili, akavaa kisketi na blauzi! Akakuta natazama Wasafi tv, akanambia nibadilishe niweke Star Swahili aangalie jumba la filamu nikamkatalia! Akanifuata nilipokuwa akachukua remote, na mimi nikamnyang'anya, tukaanza mchezo wa kunyang'anyana! Nilivyoona mazoea yamezidi sasa nikamlaza kwenye sofa nikamwambia unatoa remote hutoi! Akajibu sitoi! Nikamwambia Nakushika mbavu kama hutotoa, akasema,"hata ufanyeje, nishasema tunaangalia maigizo". Nikaamua kumtekenya, akajigeuza kifudi fudi, remote akaificha tumboni akailalia! Nikaendelea kumtekenya huku namuuliza Remote unatoa hutoi? Akasema hatoi! Nikaendeleza mchezo, akaanza kusema,"Ash Aaaiiish Mmmmh Ananibbbbbb" halafu tunacheka! Akazidiwa akaamua kunikabidhi remote, halafu akanambia,"una bahati wewe ni kaka angu, isingekuwa hivyo ningekufanya kitu mbaya!" Nikamwambia "unasemaje!" Akajinunisha! akachukua ndoo ya kuogea akaja kuchukua maji ya kwenye friji akayamimina kwenye hiyo ndoo! Akaingia chumbani, akatoka na kitenge! Akawa amekaa kwenye sofa huku kainama akiyatazama yale maji! Nikamuuliza, umekuaje? Akanambia "Siko vizuri ila naona uvivu kwenda kuoga". Nikamwambia, wewe si umetoka kuoga muda si mrefu!!? Akanambia, "Usiniongeleshe, tena usiongee chochote"

Akashuka kwenye sofa akakaa chini! Akaegemeza kichwa kwenye sofa, akafumba macho huku mdomo ukiwa wazi! Mguu mmoja akaushusha chini, mwingine akausimamisha! Akawa kama vile anashika kule ndani, halafu anakivuta kitenge kikae vizuri!

Mizuka ikanipanda baada ya kuona tukio, dushe likajaa sumu! Mwanaume nikauvua undugu kudadadeki!

Story itaendelea muda si mrefu!
acha utoto
 
Mda mrefu toke nipost humu anyways, nmesoma soma visa visa humu nimeona ni share hii story imetokea miez 2 imepita.


Nmeanza kaz mkoa xxxx hospital kubwa tu, mm sipo serikalini nipo taasis binafsi (NGO) ambapo natumia ofis na mratibu wa mkoa ambae n daktari with special focus kwenye hayo mambo ambayo nafanyia kazi (naweka code apa maana kuna watu hawakawii). Sasa yule mratibu mara nyingi hayupo ofisini, na mara nyingi huwa nipo mwenyewe kilichopelekea mm kua na home office nakua siend kazin mara kwa mara yaan inaweza pita hata 2 weeks sijaenda kama sina issue maana contact person wangu n mratibu na yy kama nna issue nampigia tu simu tunayajenga. Sasa baada ya mama Samia kupush issue za chanjo za Covid na watumish kupewa deadline ya chanjo ziishe ili zisiharibike ikaonekana kwa pale hospital watu wa chanjo wanahitaji ofis yao kwa ajili ya issue za covid tu specifically. Na apo ndo picha linaanza.


Siku naenda ofisini, nakuta kuna furniture mpya zimeongezwa vit na meza 2. Then akaja nesi ambae ndo coordinator wa izo chanjo ( kama kiongoz wao kwa io task force ya chanjo ya huo mkoa). Ofisin kwetu kulikua na nafasi so nadhanz ndo maana waliwaleta hapo. Sasa mwanzoni tukatambulishwa na tukawa ofisi moja. Fast forward tukawa na mastory story ya hapa na pale lakin hakukua na romantic interest. Sasa mm ni mtu ambae najipenda saanaa, nna perfume zangu kali tuna I dress well ( nlishalisemaga hili humu before kwenye post yangu ya nyuma). Sasa kumbe yule nesi bwana akawa kanizimia, sijui n ile perfume au uchangamfu wangu maana perfume alikua anaisifia sana na nishamchanganya ila anashindwa anianze vipi. Huyu Nesi n mtu mzima kidgo kama 36 yrs single parent hajaolewa ila n ana mshape flan af ana rang ya mtume yaan yupo sexy ivi ( wajuba mshaelewa), binafsi nliona sio level zangu af n mkubwa nikitembea nae unaeza sema shangazi yangu so so nlikua na mu ignore.


Siku nipo field kikazi nikapost status whatsaap akakoment, et I miss you maana sikua nmeonekana ofisini kama 3 weeks ivi. Nkamwambia me too, akajibu kweli nkakwambia yess ndo akaanza kufunguka. Ohh nataka io perfume yako kwa kweli nkamwambia nlinunua Dar akasema niagizie nkamchek muuzaji akasema zimeisha labda nisubiri nkamwambia nesi akasema basi nimpe ya kwangu nayotumia. Nkasema nkimpa yy atanipa nn akasema chochote. Nkasema upo serious akasema ww sema ntakupa chochote nkajua tu apa kimeumana, Apo mm nna ukame first class sijasex kama 4 months ivi af nipo mkoa ambao sio nyumbani. From there akawa comfortable kuchat na mm so akawa ananitext tunachat at times sasa kwenye kuchat nikamuuliza kipi kinakupa nyege akajibu et weed. Sasa mpenz msomaji mm n mvutaj mzuri tu wa io kitu na haijawai kua obstacle kwenye Maisha yangu tokea nipo olevo had namaliza masters. So nikamwambia aje home tuvute na amekua akikomaa sana mda mrefu anataka aje aione io home ofici inayonificha sionekani ofisin, kifupi alifurahi sana.


Siku ikafika nikampa tarehe akaja, kwa kweli jinsi alivokua kavaa asee nkasema uyu leo lazma tupeane utamu. Kavaa tu gauni refu jepesi ila limemkaa na ule mshape wake umejichora ivi asee ( nadhani alijua au she planned).Kafika oh nyumba yako nzuri kwann huna dem how come unaishi vizuri iv hujaoa sijui hongera na mm nataka niwe kama ww me namchek. Nikaweka zangu pale Trace Mzki tukawa tunapiga story nikanyonga weed kama stick 3 ivi tukaanza kuchoma. Sasa baada ya kam 4o mins akaomba kwenda washroom akaenda aliporudi akawa amehama siti this time akawa karib na nilipo. Tumewasha blunt ya 4 nikasema nataka nikupe moshi kwa mdomo akacheka ( hata sijui nliwaza nn) af kimya nikamwambia fumba macho akatii, nikamsogelea nkamkiss akaanza toa ushirikiano. Then from there one thing leads to another nikamtia apo apo seblen cha kwanza tukachill chill nikapiga cha 2 mda ukawa umeenda nikamwitia bajaji akasepa. NIseme tu hawa wadada watu wazima watam sana af wana kitu tofauti sana na hawa under 20’s. Maana wanahamasisha sana tendo af n wasafi mnoooo. Lakin orgasm ukiwa high on weed, its one of a kind asee, ina feel poa saaaanaa hata yy alinambia (kama n amateur weed smoker I would recommend na mwenz wako). Baada ya apo ohhh hatojua mtu hii n siri yangu mm na ww ila sasa tukawa tukikutana kwenye korido za ofisi akawa full kunishobokea na kujionesha tupo karibu mara atake nichome chanjo ya home ya ini ili mradi tu shobo. After a while akaanza vizinga nkawa namtoa toa ila sasa nikapunguza ukaribu flan iv akawa anamind na ma insecurities kibao ndo ivo had leo. Anataka re-match namzingua tu kwa kumpa kalenda na kumwambia saiv weed nimestop ntamstua ila n vile nstaki mazoea nae nisije kunogewa maana n wale wadada flan kama yule Mwanaidi Suleiman anatangaza sports na kitenge E-fm and Wasafi ial yy sio Mwislam.

NB: Nlitumia kinga watu wa ukimwi msije na povu.

Nawasilisha
Wee acha utani bwana demu anataka umgegede tena fanya kweli mwana mbona unaleta mapozi au show yake haikuwa nzuri
 
Nna story kama 3 ivi za kula kimasihara ntasimulia kadri ntakavoweza, nmeona watu wametoa visa vyao nimepata morali wa kusimulia kisa changu.

Mwanza

2011, nikiwa mwaka wa 3 chuo, mwezi July - September nlikua nafanya field pale maabara ya Maji ya SGS ipo karib na Nyakahoja Primary School kwa sampuli zinazotoka migodi ya Geita, Kahama na kanda ya ziwa kwa ujumla. nlikua nasoma chuo kimoja maarufu hapa Dar es Salaam ila nlitaka kubadilisha mazingira maana filed zote zilizopita ( ya mwaka wa 1 na wa 2) nlikua nmefanyia Dar ambako ndo home.

Sasa kipindi kile kulikua kuna mshikaji wangu yupo Mwanza kikazi tumwite Oscar, ( sio jina halisi) alikua anafanya kazi na UNIDO ambayo hio kazi tulifanya wote miez kama 8 iliyopita japo me nlipewa mkataba wa mda mfupi maana nlikua narudi chuo mwaka wa 3 ila jamaa alikua ashamaliza chuo mda huo. Huyu jamaa alika mtu mzima kidogo na umri ulikua umeenda. Yeye alikua anaishi Nyumbani hotel ( kipind icho bado haijafungwa) ipo pale center kabisa town Mwanza karib na Mwanza hotel. Sasa alipangishiwa hotel pale gorofa ya 8 ndo alikua anaishi. Hii ilikua n moja ya advantage ya kufanya kazi na hawa jamaa maana hata kwenye ile kazi yetu pia tulilipwa vema sana kwa kipidi kile na jamaa apa alikua anavuta per diem ndefu tu.


So long story short, me nlikua nkitoka field kule na yule bosi wetu Mghana anatupigisha kazi kinoma tunapima ma sample yale asubuhi had jioni so ilikua n experience poa. So nkawa nkitoka napita kwa Oscar hotelin maana tulikua tumezoeana sana mastory kibao tu na kule juu walikuaga na bar na pembeni kuna swimming pool so ilikua unaweza kuvimba na ku create scene kama ukitaka na pesa unayo. So mara nying nkienda tulikua tunachill kule juu bar sio room ya hotel alipokua anaishi. Me nakunywa ila Oscar ye alikua sio mnywaji.

Sasa me nikawa kawaida nachukua daladala au natembea hadi kauma pale ( kwa wasiopajua n pale kwenye raound about ya samaki ambako watu hupenda sana kupiga picha sijui kama had leo bado kuna io stunt au hapana) so me nlikua nakaa Nyegez corner kwa uncle, ambae alikua hana noma hata nkichelewa kurudi japo me mwanza nlikua si mwenyeji.

Siku io kama kawaida nmetoka zangu kule nakonfanya field nkamchek Oscar akasema nipo, nkamwambia nakuja, nmefika tumeenda juu kule tukapiga sana story na mshikaji hadi mida ya jion kama saa 11.30 jion nkasepa akanisindikiza hadi pale stendi, sasa apo ndo tunasubiri gari na mshikaji namwona dem black beauty ana shape kimodo, ngoz imenawiri amesuka rasta za kimasai mwenyewe nkamnotice na yeye akaninotice. Hatukua na maongezi ila nkamwambia Oscar umeona mtoto yule akawa anacheka cheka tu. Sasa Mwanza jion gari huwa chache ( sijui kwa saivi ila kipindi kile ilikuaga ivo), Gari Imefika ( Ilikua hiace ndogo zinaenda Buhongwa) pale watu wakawa wanaingia fasta faster, me nkamuaga mwana nkazama kwenye gari. nikapata siti mwisho kabisa dirishani yule dem akawa amekaa pembeni yangu. tumeanza safari mzee kumbe dem kaskia harufu ya perfume yangu nliyopiga chumbani kwa Oscar (nmegongea tu ya mwana) wakati naondoka inanukia balaa. Sasa baada ya kama 20 mins nkamsalimia tukaaanza kupiga story story za apa na pale dem naona yuko positive na akaniambia perfume yako nzuri nkawa najishaua tu pale na blah blah kibao ila ndo nkagundua sura hakua mzuri ila ana shape bomba sana yaan sio mnene sio mwembamba kama pigo za shadee wa clouds af vi chuchu vidogo ivi hata sidiria havai.

Kumbe yeye alikua ana risit alifeli form 4 an mda ule alikua anatoka Makoroboi kubrowse vitu ( sehem ya vitu vya wadada wanafanya sana shopping) ambayo ipo karibu na stendi ya pale Kauma na kule ndo alikua anarud home Mitaa ya Mkolani mbele kidgo ya Nyegezi, so tupo kwenye daladala story zikawa nyingi me nkaomba namba akanipa nkafika zangu nyegezi kona nkashuka nkaenda kwa uncle fresh. Baasi tukaanza kuchat chat pale akawa ananiulizia ile perfume yako inaitwaje mara sijui umejipulizia wapi na wapi me nkawa nishawaza ii manz inantafuta ii. So katika kuchat chat nkamwambia tumeet basi nmetoe out akakubali nkamwambia Oscar akasema mwambie tu uje nae apa juu bar hotelini basi me nkamwambia Jmosi around saa 8 maana kule field tunaenda pia hadi jmosi japo tunatoka saa 6 mchana na tulikua tunalipwa 5000 per day so kila jmosi tunalipwa ela ya wiki so wikiend unakua umetuna kidgo si haba.

Kweli me jmosi nmetoka kule Maabara nkaenda kwa mchiz, story story na mwana tukapanda juu bar kule, imefika saa 9 ivi dem kaniambia kafika nasema poa nakuja kukuchukua. Me huyo nkashuka na lift had chin namkuta mtoto kajiremba anavutia, Sketi laini inaishia magotini , kitop kachomekea ananiletea uzungu tu kafurahi, ananihug huku ananisifia nanukia na me full kusmile tu na kumpa ukaribisho uliotukuka. Tumepanda lift tukaenda had juu kule bar, dem akapagawa ohh this venue is amaizing, asee huku n pazuri, i love this spot blah blah kibao me namchek tu, mshikaji apo anacheka kinoma. Yule manz alikua mzuri asilia yaani na this time ndo nliweza kuona kitako chake yaan kilikua very sexy kama cha Shadee yule wa Clouds, yaan sio kikubwa na sio kidgo pia alikua msafi sana.

Tumekaa pale dem kaagiza reds, me ndovu.. mwana anakunywa maji.... piga vyombo pale wewe had saa 12 kasoro jioni dem kaanza kulegea anancheka cheka tu kitu kidgo na me geji imesoma mda uo. Nkamwambia twendezetu tukachil ndani apa upepo mwingi af ww upo loose sana, akastuka nkamwambia room ya mwana lakin yeye anaongea na simu ya kikaz so haina shida, sabab tulikua nae pale dem akakubali. Jamaa pale alikua na laptop me akanipa key haooooo na dem had room kwa mwana. Apo nishachukua zana zangu maana nlihis suala lingeweza kutokea. Basi tumefika pale dem mara ajiangalie kwenye kioo, mara atake kwenda balcony mradi shobo tu, me nkawa nimekaa kwenye vikochi vidgo vile ( arms chair namcheki) alipomaliza akajilaza kitandani me pale pale sikufanya ajizi nkaenda nkalala pembeni yake akacheka. ile nageuka nataka kumkiss akastuka ohhhh why sijui nn, nkamwambia me nmekuelewa bwana umenvutia sana siwez kujizuia ( nadhani alikua anataka social proof) akacheka tu akasimama akanivuta mkono had kwenye ki meza pale room akakaa akaanza kunipa denda, sasa ukichanganya na tungi nlikua nmepiga basi nkadinda mbaya dem nae kumbe nyege zimemkamata.. basi pale romance ya kufufuka mtu akashuka chini akanipa Bj moja matata sana. nkamvua nguo ya juu, sidiria nkanyonya sana chuchu zake yule dem kama 30 mins anahema juu juu tu nkaona huyu tayari.

mzee nkavuta ndom alivoona box akaanza ohh siku ya kwanza tu unataka kunitia, sio vizuri tufanye siku nyingine nkawa simkilizi nafanya yangu tu nkaona mtoto hisia zinamzidia nkavua ch*** vaa ndom, dahh dem ana k safi haina nywele yaan zimenyolewa freshh.. kifupi mzuka unapanda maradufu yaani nkamweka style pendwa ya wananchi nkapiga dudu kama 7 mins wazungu hao. Nkaenda bafun kujisafisha, nlivotoka nae akaenda tukawa tunapiga story ndo akafunguka ohh me nlikuelewa since that day, u look smart, educated and charming na perfume yako ilinivutia. Nkamuuliza mbona ulikua hutaki kunipa eti ohh sitoagi mara ya kwanza,sikua na uhakika na wewe basi tumepiga story pale tukapiga romance tukawasha cha pili fresh. Nmemalza nkamchek Oscar akaja ( hio saa 2.30 inaenda saa 3 usiku), sabab tulikua tunaenda uelekeo mmoja tukachukua tax Oscar alituitia dereva wake, haoo mpaka kwao then akanirudisha pale nyegez corner nkamlipa akasepa.

Kuanzia siiku ile nlikuja kumdinya tena kama 2 times kwa vipindi tofauti tofauti na this time nlienda nae lodge tu moja kule kule Nyegezi nyingine mitaa ya butimba apa , nlikuja kumpotezea alipokua ananipiga vizinga mfululizo maana mwanzoni nlikua namtoa one time one time ila akawa anataka kila baada ya siku 3 niwe namtoa. Mpaka field imeisha nkarudi zangu dar Nkampotezea mazima tunakutanaga facebook tu ila sina time nae.
Mkuu naomba jina la perfume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom