Mimi huwa nawashangaa sana..hata akisema kata aliyopo bado hatuwezi kumjua.Nikishaona mtu anasema mkoa X napoteza imani na story yake. JF ndio social network ambayo mtu hawezi kukujua unless utake mwenyewe kujukikana sio kama FB or Insta.... hata useme jina la mkoa uliopo hatuwezi kukufahamu hata kwa dawa.
[emoji1][emoji1][emoji1] ila kweli ukifikiria ada hata hamu ya kuleta watoto duniani inapotea. Unawaza kitu gani ufanye uongeze kipato. Speaking from experience ya hii januaryNaona ushalipa ada unadidisha tu saivi..wenzako hawadindi tokea tarehe 2
Yaani siku akikutana na Cvez live unaweza ukamchapa makofi kwa hasira kwa kuhisi ni mtu fulani hivi kumbe ni kajamaa fulani tu hivi. Na huu ndio uzuri wa JF hakuna kujuana personallyMimi huwa nawashangaa sana..hata akisema kata aliyopo bado hatuwezi kumjua.
Ni shida mkuu..utawaza sana haya maswala kama kichwani hamna mambo makubwa[emoji1][emoji1][emoji1] ila kweli ukifikiria ada hata hamu ya kuleta watoto duniani inapotea. Unawaza kitu gani ufanye uongeze kipato. Speaking from experience ya hii january
Aisee na January hii unapata nguvu ya kuandika ujinga badlaabya kutafuta pesa. Kweli Mwaka mpya huana maana yeyote kwako.
Nilitarajia Mwaka mpwa vijana mnasema Mwaka huu tufanye Nini tutoboe
Kuna fursa zipi na tunazipataje, watu wanaweza ngono tu