Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Mdoa mada funguka kwanza wewe kama umeshawahi kuliwa kimasihara mara ngapi!?
Ww hujaliwa kimasihara kweli?Mnh Naomba niwe mpenzi msomaji
Anza kwa kusoma Huu ujumbe wangu😁Mnh Naomba niwe mpenzi msomaji
Lete marejesho mkuuNimekula tunda tena kimasihara kwa kutumia experience ya huu uzi.
Tayari mbona..watu walishatiririka zamaniHivi humu ndani hakuna mtu aliewahi kula kimasihara demu yoyote star (bongo movie /bongo fleva)





Kuna watu humu mademu zao wanaliwa tu kimasihara na wenyewe wamekomaa tu kusoma![]()
Ww hujaliwa kimasihara kweli?
Tena wana changia kabisaKuna watu humu mademu zao wanaliwa tu kimasihara na wenyewe wamekomaa tu kusoma![]()
Sup 3 ? Mimi semester ya mwisho sup tatu na carry mbili
Nikashindwa kuchomoa moja nikaja kusoma mwaka mwingine
Kupanga ni kuchagua





mbona wengi mmefaidia moro?1. Siku moja 2016 natoka Msamvu kuja magetoni Modeko, njiani nikamkuta mrembo tukaongozana njiani. Mara story nikamwambia tupite home kwangu upaone tu, hata bila kutongoza nilifikisha geto tukafika tunatazamana tu, kilichofata ni kuvuana nguo na kupiga show.
Hatukuonana tena zaidi ya sms za kawaida na mawasiliano yalikufa baadae.
2. Mwaka 2017 nikiwa R-Chuga nilimwita mrembo mmoja kwa kumkonyeza tu. Akaniuliza, unasemaje? Nikamwambia njoo nikweleze, tukaishia kuvuana na kupiga mechi kama tulikuwa tunajuana vile!
Alafu sikuonana naye tena na hatukupeana hata namba!
Mkuu malizia ..!!Hodi,hodi,hodi,hodi.........Sauti toka nje ya geti, karibu Jirani,jiran ametoka dar,nikafungua geti akaingia maana tunakaa Nyumba Moja kasoro vyumba tu,nikampokea mizigo yake pale tukaelekea mlangoni kwake,sasa ana tafuta funguo haoni ,akamwaga kipochi chini hakuna,huku na huku hakuna,Utakuwa umeacha dar nin wewe,basi kama dakika 20 hivi hakuna mafanikio,ikabidi nijiongeze njo hapa kwangu kwanza upumzike tukaingia ndani,sasa akapiga simu kuuliza kwa mama yake mdogo,akaambiwa mbona iko hapa mezani ulipokuwa unakula mchana duuuu hapo ndio akachanganyikiwa kabisa,maana dar lindi safari ipo,
Akasema basi Kesho unitumie akajibiwa Sawa.Tukaingia ndani huku anaona noma,
Itaendelea.......
Avarar yako hatari unaweza kuliwa KIMASIHARA...Mnh Naomba niwe mpenzi msomaji