Daaaa mkuu kama umeniona ivi.ngoja niache tu maana miaka 30 kam ina nihusu
 
Nimejaribu kukumbuka Enzi hizo UCLAS maana nami nilikuwa naishi ndani humo japo sikuwa nasoma hapo. Nilikuwa navuta picha ikanikumbusha mbali sana. Nilikuwa member wa pool table ya pale juu ya laundry
Pale panaitwa TRIPLE K wahuni wa ARU wote utawakuta mule. Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nimekaa sana Balcony room 24, 43 na 16 hadi namaliza chuo. Hilo jengo la high cost uniambii chochote.
 
Nimekukubali mkuu. ulifaidi kinyama threesome! kama nakuona ulivyokuwa ukiibadilisha toka shimo moja to lingine .
 
To a namba ww acha maneno mengi na eleza yupo wapi
 
Umenipa kitu Hapa hasa wakati wa kuhost zile pisi kali
 
Wakuu naombeni msitishe kwanza kuchangia huu uzi mi ndio niko page ya 50 angalau nimalize jamani nilianza tangu juzi page zilikua 93 sasa naona kwa mwendo huu sitawakamata jama chonde chonde..🙏

Hatimae nimemaliza kusoma page zote 123 za uzi huu nafikiri nimetumia siku 5 kuweza kumaliza. Sasa na mimi nitashea visa vyangu kaeni mkao
 
Nakumbuka kuna kipindi nilipanga uswahilini sana, ile nyumba ilijengwa kama guest house yaani hamna sebule ni vyumba tu vinaangaliana na mwenye nyumba alikuwa akiishi hapo hapo yaani mke,mume na mtoto wao wakike ambae ni kama 20yrs hivi, sasa ile nyumba ilikuwa na vyumba 6 na 5 tunakaa sisi wapangaji nikawa nashangaa hawa watu wanalalaje na huyo binti yao.

Siku moja nimechelewa kurudi geto naingia ndani namuona yule binti anatoa godoro ndani analekea nalo kibarazani,ile nyumba ina ka fence ka kizuchi, nikaingia ndani kwangu nikachukua maji nikeanda kuoga kisha nikaona kama ka huruma kananiingia, basi nikaenda hadi kabarazani alipo lala kisha nikamuambia vipi hapa nje na baridi hii na hawa mbu haupati shida kweli, binti akasema ndo hivyo inabidi azoee tu, nikamuambia kitanda changu kikubwa kama unaweza kuja njoo kwangu tunaweza tunakalala pamoja kisha,mzee baba huyo nikaondoka kama dakika 5 hivi naona mlango wangu unafunguliwa na binti akaingia, basi kwanzia hapo akawa ndo kawaida yake ikifika usiku anatoa godoro kisha anakuja geto nikawa najilia tu.

Kumbe maza ake alishashtukaa muda mrefu huu mchezo, siku moja nishakula mzigo nimelala nasikia watu wanabishana maza anataka kugonga ila mzee kama hataki mwisho mama akagonga, nikaona sasa ndoa ya mkeka ndo hii fasta nikamuingiza mtoto uvunguni kisha nikatoka eti maza anataka kuja kusachi ndani kwangu, ahh mzee nikagoma bahati nzuri wapangaji wengine walikuwa wamelala basi maza akasema anaenda kuita polisi waje wakague nikamwambia sawa, maza kweli katoka ila mzee kwasababu alikuwa hataki hilo swala basi akaingia zake ndani kulala basi mimi fasta nikamtoa mtoto akaenda zake kulala barazani baada ya muda maza karudi mwenyewe naona anajiongelesha mwenyewe tu,kwenda kuchungulia kibalazani kamkuta binti yake akamwambia wewe utanieleza vizuri asubuhi.

Basi ikawa ndo mwisho wa kuja kulala geto ikanibidi niaze kupata gharama tena siku moja moja za kwenda guest tukitaka kupasha kiporo hadi nilipo hama pale ndo ikawa mwisho wetu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi nmepaliwa....
Hua inatokea mkuu, hata sisi wazoefu tunakutana sana na hivyo visanga...

Kuna mmoja niliingia 18 zake nilitaka nimlie stoo kimasihara alinijibu mbovu "kuliko nikupe K yangu bora nimpe mbwa" alinitia hasira mbaya.... Nilimtengenezea mazingira hadi akangia 18 zangu, tumefika maeneo tumevua kanipiga blowjob nkamwambia asante ila sili vinavyoliwa na mbwa afu nkaaza kuvaa nguo... Yule demu alilia kama kafiwa hadi nkamuonea huruma tukayamaliza.
 
Tena anajitetea ana genye za miaka, anaogopa maradhi pia hawezi tongoza ndio maana alitaka fanya vile... Utashangaa anasamehewa na papuchi anapewa, wanawake hawa tuwaache ivoivo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…