Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,732
Tena anajitetea ana genye za miaka, anaogopa maradhi pia hawezi tongoza ndio maana alitaka fanya vile... Utashangaa anasamehewa na papuchi anapewa, wanawake hawa tuwaache ivoivo tuZa kuambiwa changanya na zako.
Ilitakiwa akutemee na mate kabisa. Kubwa zima hujiheshimu
Epuka kufata mkumbo mkuu hayo mambo yanakuja automatic. Pole sana, nenda kamuombe radhi tu usiogope mwambie genye zilikuzidia so ukajikuta unafikiria kwa kutumia kichwa cha chini. Unaweza shangaa ndio akakutunuku.