Zamani kuna baadhi ya makabila mabinamu wanaoana. mtoto wa mjomba au shangazi sio ndugu.
Kama unaweza kumla mtoto wa dada wa baba yako basi huna akili na unaweza vilevile kumla mtoto wa mama yako au mke wa baba yako kama kigezo ni kujazia au kujaaaliwa mashalah kama unavyojinasibu