famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,225
- 2,935
Hakuna maswali ya kijinga kuuliza kama hayo, usipende kuwauliza Hilo swali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanake wana namba yao tasa hiyo...kila unayemuuliza atakwambia ametembea na wanaume watatu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....utaambiwa wewe ni wanne...na kati ya hao watatu ni moja tu ndiye aliyemla .....tena huyo aliyemla alimbaka...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]...tena mara moja tuu
Hiyo anavunga kwakuwa cyo bikra...
Baharia ukipewa hiyo namba ujue upo kwenye dauble digiti...kula mzigo halafu piga kamya....
Sent using Jamii Forums mobile app